Why do we repeat generational cycles, from time to time!

Mimi siishi nayo na mambo yangu yapo vizuri tu unaonaje hapo😅
 
Unafahamu kuwa laana ni DNA?
Ndio maana hata biblia imeandika inarithiwa kizazi hata kizazi?

DNA ndio inabeba tabia na maumbile yetu,
Unaporithi vitu kama sura, rangi, sauti au gestures kutoka kwa mzazi ni sawa na kurithi vitu vibaya kama tabia na fikra ambazo ndio huwa identity yetu,
Laana ni pale unaporithi vitu negative kama nilivyotaja hapo juu na baraka ni pale unaporithi vitu ambavyo ni positive,

Laana sio maneno ndio maana huwezi kuivunja kwa maneno,
Nikirudi kwenye point yangu ili unielewe ni hivi "DNA zetu tunaweza zitengeneza upya kupitia matendo mapya, meditation na nia thabiti" na hiyo ndio dini ya kweli.

Na kupitia kubadili fikra ndio tunabadili DNA,
Tukishabadili DNA unaweza badili mtazamo wa kizazi na watoto utakaowazaa watakua na fikra mpya hata kama kulikua na magonjwa ya kurithi yanapotea,
Na ni kazi ngumu sana ndio maana biblia imeandikwa tunayaweza mambo yote katika yeye atutiaye nguvu, na pia
imani kama chembe ya haradali yaweza fanya mambo
Yote hiyo ni kuonesha namna binadamu kupitia fikra zetu tuna uwezo wa kufanya mambo makubwa juu yetu na juu ya watu wengine
 
Mimi siishi nayo na mambo yangu yapo vizuri tu unaonaje hapo😅
😂😂😂 hata wanaoamini kwa sangoma si wanafanikiwa mkuu? kwa kuwa wanatii kanuni za kiroho ila ni za upande wa giza mfano wanatoa kafara, wanamiliki majoka 😂😂, nakutania bana sio wewe unafanya hivyo,naongelea general upande wa giza pia wanafanikiwa vizuri tu ila mafanikio na utajiri wao hauna muda ,wewe fanya tafiti wenye kupata utajiri wa masharti na nguvu za giza mwisho wao huwaje? kama sio ni mbaya na hawadumu na huo utajiri ,mkuu Mungu yupo na hakika anatenda vyema tu
 
Ni kweli kbisa
 
Mimi sipingi imani ya mtu ila napinga imani ya mtu kuwa ndio principles kwa kila mtu
 
inavunjwa je?!
 
I'm reading some good stuff in here,
 
Thnnk you❣️
 
Duh kazi ipo hapa
 

upo sahihi 20% mkuu, ndiyo maana nikasema inatibika ila kwa kipindi kidogo tu ila ngoma ipo pale pale,achilia damu ya yesu isafishe hiyo curse kwenye damu iliyobeba ndani ya DNA na unakua umejitibu wewe,watoto wako na vizazi vyotee kwa damu ya yesu na kwa kuomba rehema kwa Mungu ,usipofanya hivyo ngoma inaendelea mkuu, na laana sio lazima iwe tu kwenyee genetic ndani ya DNA pekee, zipo laana za kutamkiwa na kuandikiwa toka kwa waganga toka kwenye curse ya ukoo hujui hiyo mkuu,mfano umaskini utafanya meditation ili itoke?unakuta mtu kakusemea tu familia yako usizae usipate mtoto ngoma inaenda unaishi nayo,au utasoma vizuri ila hutapata kazi sasa hizo unatoa kwa meditation mkuu 😂😂😂😂,mfano familia yako imetamkiwa laana na ujue laana inakita kama kuna uhalali Mungu anaachia ipenye si anaona unastahili kwa kuwa hukutenda haki,umedhulumu kiwanja cha mtu na unajua kabisa umedulumu ila unajifanya mbabe basi yule jirani anatamka na kukuandika kwneye karatais na majina yako kuwa umenipokonya ardhi basi anafunga kizazi chako na watoto wako hamtakua na amani,au maisha yenu yote ni ya kupata ajali na mnaishi hivyo mtakufa kwaa ajali kila kizazi aiseeeehhh unakuta kizazi hadi kizazi wanapitia shida hiyo kumbe ilitamkwa na kuandikwa laana hiyo na ikafukiwa chini ya ardhi wewe mkuu wewe hujui unasema tu kirahis 😂😂😂, mjomba kuna vitu unatakiwa uingie deep usiguseguse tu ukasema umeelewa ,generation curse ni jambo la kiroho sana sana sana na limewatesa wengi
 
Hiyo unayosema laana mimi naihusisha moja kwa moja na dhana ya free will " uhuru wa kuamua". Kinachokutesa mkuu ni kudhani kwamba una uwezo wa kuchagua kile unachokipenda! Na umekariri kwamba Mungu alitupa wanadamu uwezo wa kuchagua. ukishakubali kuwa hakuna free will katika huu ulimwengu basi hutasema tena kama una laana ya ukoo au familia.

Haya Maisha ni mchezo ambao matokeo tayari yapo sema tu wanadamu hatuna uwezo wa kuona hatima yetu. Tunabaki kujifajiri na kujisahaulisha na mpira, pombe, muziki, umbeya ili tu tusiwaze sana jinsi hali yetu ilivyo ngumu ndio maana kimoyo moyo Wanadamu wengi sana wanatamani Mwisho wa dunia ufike tuu! Ili tuanze mwanzo tena.
Na wote mjue kwamba hiyo mnayosema laana ipo na layer nyingi sana ambazo zinakusubiri uvuke moja uje ukabiliane nayo, mfano inanza kwa familia, inakuja ya ukoo, inakuja ya kabila, inakuja ya mkoa au sehemu, inakuja ya nchi au ukanda ina kuja ya bara, inakuja ya dini, inakuja ya dunia, ni ngumu sana. Embu tizama Africa mifano ilivyokuwa mingi na kuogofya, na ni mashujaa wangapi wamelambishwa mchanga kisa tu kutaka kuvunjaa laana za Nchi ambazo zimewatia minyororo watu wengi sana!
 
Mkuu ukikubali kujifunza,kubali pia kuwa open Minded.siyo kushikilia vitu mlivyo karirishwa sijui damu ya yesu,n.k.Siwadharau ila walokole mnabore mnoo..

Inabidi uelewe kwanza laana zinazo zungumzwa ni zip? Nitakutajia chache,mfano magonjwa,umaskini,ulevi n.k. ila zipo nyingi

Hizi laana ama hizi tabia kimsingi zipo kwenye DNA,,kiasi kwamba itajirudia kizazi hadi kizazi..maana zinarithiwa...zinaweza ku skip kizazi fulani but zitajitokeza kule mbele.

Tafsiri yake ni kwamba kama kitu kinaweza kujirudia rudia maana yake kipo kwenye DNA,ili uondoke kwenye hyo cycle unapaswa kwanza ubaini hilo tatizo pili ufanye meditation na Yoga..ndo njia pekee ya kuchange DNA na zile imprints ambazo hutoa matokeo hasi zitaondoka..zitabaki zile chanya.

Automatically utakuwa umevunja yale maagano ambayo yalikuwa yanajirudia rudia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…