Why do bank charges high interest for workers loan?

Why do bank charges high interest for workers loan?

Hapo Ess kuna list ndefu ya banks na microfinances,..na riba zao zimewekwa peupe kabisa ili muhusika aridhie yeye mwenyewe...
Na Riba hizo hazipo uniform...wanatofautiana.

Sasa huyo mkopaji obviously atakuwa amechagua mkopo ambao marejesho yake ni miezi 108 ambayo ni miaka 9.
Sasa na wewe hebu vaa viatu vya huyo bank, ingekuwa ni wewe binafsi mtu amechukua hela zako milioni 13 leo February 2026, Je fairly ungependa akurudishie shilingi ngapi ifikapo mwaka 2035.
 
Ndio maana kufanikiwa kwa kukopa Bank kwa wanaoanza biashara Tanzania ni ngumu sana sana na hizi Saccos zimesaidia maana mnajiwekea riba yenu ambayo haiumizi sio hao jamaa aisee ni hatari mno mno wengine wanatumia flat rate au utasikia reducing balance method ya kulipa mkopo ni hatari sana..
Na kingine nachokiona kwa hizi benki nyingi elimu ya mkopo wanaitoa sana baada ya mteja kupokea mkopo, ila kabla ya kupokea mkopo kuna maswali huwa hawajibu na wakijibu hawasemi ukweli.
 
Back
Top Bottom