MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
- Thread starter
- #41
Kingine nilichokisahau kukizingatia enzi ile ni tofauti zetu za kiimani kwani niliamini love conquers all. Inawezekana wka wengine ikawork but mara nyingi after ndoa huwa inatokea mifarakano related to tofauti za kiimani. Niliamini there is nothing wrong kuoana na mtu wa imani tofauti nawe as long as mmependana- sasa ikihapen love kuchuja (kama inachujaga) utajuta! na pia inawezatumika kama kigezo cha either kuwatenganisha au kumfanya mmoja wenu abadili imani yake amfuate mwenzie hata kama mwanzoni makubaliano hayakuwa haya.