Why chinese cars are not so famous!!!!

Why chinese cars are not so famous!!!!

Ze burner

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
514
Reaction score
84
Kwa mujibu wa wikipedia inasemekana kuwa nchi ya china inaongoza kwa uzalishaji wa magari ambapo kwa mwaka 2009 china ilifanikiwa kuzalisha magari 18,264,667 kwa mwaka ambayo ni mara mbili ya japani iliyozalisha magari 9,625,940 zilkifuatiwa na USA, south Korea na
Brazil. Pamoja na wingi huo wa magari yanayozalishwa nchini china hakuna hata kampuni moja nchini humo inayoingia katika kumi bora za kampuni zinazozalisha magari kwa wingi duniani.

kampuni zilizomo kuanzia namba moja ni Toyota, general motors (gm), volks wagen, ford, Honda, nissan, peageot, hundai, suzuki na fiat. hii ni kusema kwamba nchi ya china ina viwanda vingi vya magari kuliko nchi zote duniani ila inawezekana ni small and medium scale industries.

hata hivyo kwa idadi kubwa ya gari zinazozalishwa nchini humo tungetaraji kuona soko lake ni kubwa sana hasa katika nchi zetu hizi tusiyojali saana mambo ya ubora sasa kwa nini hazijapata umashuhuri huo.
kama kuna mwana JF ambaye anatumia gari la kichina au ni fundi mtueleweshe hili ili tujue mapungufu ya gari hizi........!!!!!!!!!!!!!
 
Niliagiza gari ya kichina nikambiwa naweza kulipata mwaka 2027 maana kwa sasa wanauza kwa watu wao kwanza, labda tuwaombe wafanya biashara wetu waeende wakatengeneze copy za gari ndio tutazipata.
 
Niliagiza gari ya kichina nikambiwa naweza kulipata mwaka 2027 maana kwa sasa wanauza kwa watu wao kwanza, labda tuwaombe wafanya biashara wetu waeende wakatengeneze copy za gari ndio tutazipata.
Loh! hiyo kiboko
 
Kwa mujibu wa wikipedia inasemekana kuwa nchi ya china inaongoza kwa uzalishaji wa magari ambapo kwa mwaka 2009 china ilifanikiwa kuzalisha magari 18,264,667 kwa mwaka ambayo ni mara mbili ya japani iliyozalisha magari 9,625,940 zilkifuatiwa na USA, south Korea na
Brazil. Pamoja na wingi huo wa magari yanayozalishwa nchini china hakuna hata kampuni moja nchini humo inayoingia katika kumi bora za kampuni zinazozalisha magari kwa wingi duniani.

kampuni zilizomo kuanzia namba moja ni Toyota, general motors (gm), volks wagen, ford, Honda, nissan, peageot, hundai, suzuki na fiat. hii ni kusema kwamba nchi ya china ina viwanda vingi vya magari kuliko nchi zote duniani ila inawezekana ni small and medium scale industries.

hata hivyo kwa idadi kubwa ya gari zinazozalishwa nchini humo tungetaraji kuona soko lake ni kubwa sana hasa katika nchi zetu hizi tusiyojali saana mambo ya ubora sasa kwa nini hazijapata umashuhuri huo.
kama kuna mwana JF ambaye anatumia gari la kichina au ni fundi mtueleweshe hili ili tujue mapungufu ya gari hizi........!!!!!!!!!!!!!

Gari ya mchina itakuwa unajitafutia kifo kabla ya siku zako.
 
Mbona zipo mitaani kama zile Pickup za Great Wall, Malori ya Bei Bei yenye label kama Benz na Yutong bus?
 
Niliagiza gari ya kichina nikambiwa naweza kulipata mwaka 2027 maana kwa sasa wanauza kwa watu wao kwanza, labda tuwaombe wafanya biashara wetu waeende wakatengeneze copy za gari ndio tutazipata.
<br />
<br />
khah! 2027? Utakuwa hai? Wanatania hao!
 
Mbona zipo mitaana kama ile inayoitwa Pickup za Great Wall, Malori ya Bei Bei yenye label kama Benz,
<br />
<br />
Hata mabasi ya kichina mbona mengi tu hata gari ndogo pia kama Landmark nk.
 
Tatizo ni quality na brand name, kuweza kutengeneza gari haina maana kuwa kuna mtu atalinunua.
Pia product za kichina zina perception ya low quality (mara nyingine ni kweli) kwa producrt kama gari hili ni tatizo kubwa kwa sababu mteja anataka ajisikie salama na awe na uhakika wa gari kudumu kwa muda mrefu.

Wachina wenyewe wanapenda magari ya Kimarekani maana ni status symbol kuwa na gari la Kimarekani.

Pia video kama hizi hazisaidii.
 
Last edited by a moderator:
FAW si yao kweli? mara nyingi haya huwa ni malori
 
Tatizo ni quality na brand name, kuweza kutengeneza gari haina maana kuwa kuna mtu atalinunua.
Pia product za kichina zina perception ya low quality (mara nyingine ni kweli) kwa producrt kama gari hili ni tatizo kubwa kwa sababu mteja anataka ajisikie salama na awe na uhakika wa gari kudumu kwa muda mrefu.

Wachina wenyewe wanapenda magari ya Kimarekani maana ni status symbol kuwa na gari la Kimarekani.

Pia video kama hizi hazisaidii.

umenena kitu hapa mana wa tz kwa brand name!! nothing to tell them
 
Last edited by a moderator:
Magari ya Kichina yako bomba sana tu sema sisi wabongo tumeshakalili. Na China kwenyewe huwezi ukakuta malori ya scania nk. Halafu mjue kwamba sasa hivi Volvo zinatengenezwa china maana walishanunua hisa zote za volvo. Yako magari mazuri sana ya Kichina ila sema hatujayataka tu. China kuna vitu vizuri sana kuliko mnavyofikiria na hawaimport vitu ovyo toka nje kama kikiwa impoted kinakuwa na bei kubwa olmost mara 2 ya bei ya China.
 
Why chinese car are not famous? simply becouse they are "MADE IN CHINA."

hata makalio ya kichina si unayaona yalivyo? simu je? magari si ndio itakuwa balaaaa...Je utapanda basi la kichina....? simu tu betiri mbili, sasa seat belt zitakuwa ngapi kwa mtu mmoja?
 
Kwa sasa hivi hapa nchini Nadhani hakuna mabasi kama zong tong na yutong maana hata marcopolo na andare sidhani kama zinaweza kuona ndani kwenye haya mabasi ya kichina ,kwanza ni full ac ,tv,friji, leather seats hasa zong tong na yana usalama kwa abiria wake kwani siti zote zina mikanda imara ya usalama na yanakimbia sana,na yanafaa kwa hizzi barabara za kwetu.
 
Ivi eicher za wapi hapo kuna spellin ntakuwa nimekosea aya nayo saiz si meng kama daladala. Vilevile nlisikia kuna costa za japan na china ila cna uhakika.
 
Niliagiza gari ya kichina nikambiwa naweza kulipata mwaka 2027 maana kwa sasa wanauza kwa watu wao kwanza, labda tuwaombe wafanya biashara wetu waeende wakatengeneze copy za gari ndio tutazipata.

Ni kweli kabisa, jirani yangu la kwake litakuwa ready by 2019
 
<font size="4">Magari ya Kichina yako bomba sana tu sema sisi wabongo tumeshakalili. Na China kwenyewe huwezi ukakuta malori ya scania nk. Halafu mjue kwamba sasa hivi Volvo zinatengenezwa china maana walishanunua hisa zote za volvo. Yako magari mazuri sana ya Kichina ila sema hatujayataka tu. China kuna vitu vizuri sana kuliko mnavyofikiria na hawaimport vitu ovyo toka nje kama kikiwa impoted kinakuwa na bei kubwa olmost mara 2 ya bei ya China.</font>
<br />
<br />
Jamani wakati mwingine kasumba ya kikoloni inatuweka pabaya. Hivi kama china inaweza kuhunda mizinga ya nuklia tangu miaka ya sitini, ndege za kivita, roketi za kubeba satilaiti na binadamu kwenda hanga za juu vile vile China inawahundia mabawa ya ndege kampuni ya Boeng za Merikani na kuhunda ndege aina ya Air Bus, nyanja za elekitroniki hata hapa Tanzania mitambo mingi ya mitandao ya simi imeundwa China. Nimejaribu kuonyesha huwezo mkubwa wa kiufundi wa Wachina, kwa hiyo kitu kama uhundaji wa magari kwao ni kitu kidogo sana kwao, jaribu kudadisi watu wenye malori ya mchanga, mabasi , na matera kutoka China sina shaka hutakuwa disappointed kwa majibu utakayo pata kuhusu ubora wa magari ya Kichina.
 
<font size="4">Magari ya Kichina yako bomba sana tu sema sisi wabongo tumeshakalili. Na China kwenyewe huwezi ukakuta malori ya scania nk. Halafu mjue kwamba sasa hivi Volvo zinatengenezwa china maana walishanunua hisa zote za volvo. Yako magari mazuri sana ya Kichina ila sema hatujayataka tu. China kuna vitu vizuri sana kuliko mnavyofikiria na hawaimport vitu ovyo toka nje kama kikiwa impoted kinakuwa na bei kubwa olmost mara 2 ya bei ya China.</font>
<br />
<br />
Jamani wakati mwingine kasumba ya kikoloni inatuweka pabaya. Hivi kama china inaweza kuhunda mizinga ya nuklia tangu miaka ya sitini, ndege za kivita, roketi za kubeba satilaiti na binadamu kwenda hanga za juu vile vile China inawahundia mabawa ya ndege kampuni ya Boeng za Merikani na kuhunda ndege aina ya Air Bus, nyanja za elekitroniki hata hapa Tanzania mitambo mingi ya mitandao ya simi imeundwa China. Nimejaribu kuonyesha huwezo mkubwa wa kiufundi wa Wachina, kwa hiyo kitu kama uhundaji wa magari kwao ni kitu kidogo sana kwao, jaribu kudadisi watu wenye malori ya mchanga, mabasi , na matera kutoka China sina shaka hutakuwa disappointed kwa majibu utakayo pata kuhusu ubora wa magari ya Kichina.
 
Kwani haya mabasi kama Championi yanayo anguka na kusambaa yanatoka China? Ajali ni ajali tu kwani hata ya Japan yanaua kila kukicha!
 
Back
Top Bottom