Mujumba
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 853
- 306
Tanzania kuna lundo la vyama vya siasa lakini maongezi makubwa na mijadala mbalimbali inahusu CDM na CCM vyama vingine viwapi?? wapi UDP,PPT-MAENDELEO,TLP,DP,SAU etc?? kwanini Tendwa asianze kufuta hivi ambavyo havieleweki vinafanya nini kuliko kutetea kitumbua chake kwa kuishambulia CHADEMA??