You don't explain anything. You keep on repeating nothing - kama huna hoja nyamaza.
Tanzania kuna more than 100 languages. Lakini kuna lugha moja inayowaunganisha wote. Na kila mtanzania ni ndugu yako. Ustaarabu ni kuona kila mtu ni binadamu. Ukipanda matatu kila mtu anaongea lugha yake, ukienda maofisini ni hivyo hivyo, ukienda sokoni ndio kichwa itakuruka kabisaa maana kila mtu kafungulia redio ya lugha yake!
Waliosema Babylon tower ilikuwa middle east walikosea, Babylon tower ilikuwa Kenya!
Tanzania kuna more than 100 languages. Lakini kuna lugha moja inayowaunganisha wote. Na kila mtanzania ni ndugu yako. Ustaarabu ni kuona kila mtu ni binadamu. Ukipanda matatu kila mtu anaongea lugha yake, ukienda maofisini ni hivyo hivyo, ukienda sokoni ndio kichwa itakuruka kabisaa maana kila mtu kafungulia redio ya lugha yake!
Waliosema Babylon tower ilikuwa middle east walikosea, Babylon tower ilikuwa Kenya!
Kama vile lawmaina alivyosema huo ni upungufu. Eti kuongea lugha ya mama ni ushamba name kuongea kiingereza ni utumwa hadi mnabaki mambumbumbu wasiojua lolote. Chanukeni bana.
Nothing cannot be repeated because it is emptiness....!!!by the way are you Luo? I have a reason to ask!
Bwana kajifunze maana ya kitu kinaitwa diversity, mimi huwa nafurahia sana kuwaona Wakenya wenzangu wakiongea lugha nyingi za asilia. Kiswahili na Kingereza tunaziongea lakini sio kwa kulazimishwa. Huwezi lazimisha uasilia wa mtu. Kuna sababu tuliumbwa wengi na lugha zetu.
kwanza huwa napendezwa na lafudhi nyingi zetu, yaani tamu sana. Halafu kwenye matatu/daladala unataka mtu aongee na mwenzie Kiswahili cha nini, ama ndio usikie anachoongea ili ukaeneze umbea.
Offside point...!!! Kuongea kiingereza ndo ujanja, what's wrong with your upstair bra!!!!!
Offside point...!!! Kuongea kiingereza ndo ujanja, what's wrong with your upstair bra!!!!!
Acha uongo wewe hakuna sehemu ambayo kuna tension kubwa ya ukabila kama kenya, yeyote akifanya chochote in the firt place anaangaliwa yeye ni wa kutoka wapi, refer saga ya Uhuru kutupiwa viti mahali alopotoka Raila, na saga ya Raila kucharazwa bakora that's Kenya
we mpuuzi kweli mduara, taarab, mchiriku, mnanda sio other genre za muziki?Man! probably I've been to so many places in Tanzania than you. Nimetembelea mikoa mingi sana ya Tanzania, nina uhakika lazima hata kuna sehemu nimeingia kwenye hata wewe hujaota kuenda. Anyway back to the topic, can you refute any of the claims, that
- You've been ruled by one party since independence
- Majority of you speak only one language, there are so many Tanzanian youths who can't speak their own mother-tongue, eti ni ushamba kuongea kilugha, wengine wanasema eti ni utumwa kuongea Kingereza, mumejaa vijisababu kwa ajili ya mapungufu yenu. Na hata pamoja na kuongea lugha moja, bado asilimia 60% mnapiga division zero. Hamna ujanja wa kujua na kuongea lugha nyingi.
- You've all been packaged into one musical genre, vijana wamejazana kwenye Bongo flava na milegezo. Diamond akinyoa style moja ya nywele, vijana wote wanamwagika kwa hiyo moja. Magazeti yenu kila asubuhi ni taarifa za Diamond na Wema, kana kwamba hamna wasanii wengine nchi yote.
kadoda11 nakuita huku usipite kimya.
we mpuuzi kweli mduara, taarab, mchiriku, mnanda sio other genre za muziki?
we mpuuzi kweli mduara, taarab, mchiriku, mnanda sio other genre za muziki?
nafurahi nikiona mkipata moto na povu kuwatoka mkijibu mada zangu! Hii ndo kazi yangu humu to keep Kenyan forum alive :second:We mpuuzi, unaanzisha hoja ukishindwa unatoroka alafu unarudi baadae. kama huna la kusema nyamaza.
ila taarab asili yake inajulikana Zanzibar na si Somalia au Kenya! Na pia gospel music ya Tanzania ina-rule Kenya :llama:Taarab pia iko Kenya na hata Somalia. Hizo genre zingine ndio gani hizo? Tuambie kitu ambacho kinahit sio vidensi vya wachuuzi kupitisha wakati huko kariakoo.
we mpuuzi kweli mduara, taarab, mchiriku, mnanda sio other genre za muziki?
nafurahi nikiona mkipata moto na povu kuwatoka mkijibu mada zangu! Hii ndo kazi yangu humu to keep Kenyan forum alive :second:
ila taarab asili yake inajulikana Zanzibar na si Somalia au Kenya! Na pia gospel music ya Tanzania ina-rule Kenya :llama:
Tumesema uwezo wa kuongea lugha nyingi ndio ujanja, ulimwengu wa sasa unataka watu wenye uwezo huo. Mkenya akienda sehemu yoyote huwa inakua rahisi kwake ku-adapt. Watoto wetu tunawahimiza kuongea kujifunza lugha kadhaa. Mimi wanangu wanaongea Kikikuyu (Mimi Mkikuyu), Kiluhya (lugha ya mke wangu), Kiswahili, Kingereza na shuleni wanafunzwa Kifaransa.
Mimi mwenyewe naongea Kikamba, Kiluhya, Kikikuyu, Kiswahili, Kingereza halafu Tanzania nilijaribu kujifunza Kihaya, na Kinyakyusa kiasi, yaani Wahaya niliwaona wanatumia lugha yao bila uoga.
Kiswahili asili yake Kenya yet wanaokipigia debe na kukishangilia kiujingaujinga ni watz.
Kutangulia sio kufika