Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,897
- 3,706
kwa wanawake inawezekana rangi ya pink ni kutokana na yale maumbile yao ya kike kwa ndani. sijui nimeeleweka? kwa wanaume hiyo asili ya bluu ni nini?
update:
huko google nako nimesachi lakini unasoma makala mwanzo hadi mwisho unagundua kuwa nao walioandika hizo makala hawana uhakika na asili ya hizo rangi kwa kuzihusianisha na jinsia
Ndomaaaanaaa! Basi ukichanganya hii buluu na hii pinki rangi utakayopata itakuwa ya mashoga