Wewe yaani mtoto wa mjini hujui hiyo kitu,, hebu google haraka sana,, kumbe ndo maana hutoki haraka,, uchakavu ni 20 tu, lakini ni bonge ya proffessional network,,,, mtafute Smile akupe maelezo vizuri maana yeye ni member mzuri wa hiyo kitu...
Hii kitu maarufu sana mjini as friends on friday get exposed,, inaunganisha proffessional network,, ukija mara 2 tu huku unamuacha mchaga wako maana huchelewi kukutana na levo za kina twissa ukabadili mawazo
I love this comment.....Niko Single kwasababu IM TOO PRECIOUS TO BELONG TO ONE MAN ONLY! ITS JUST NOT FAIR TO THE REST!
I only belong to 1 man at a time but not for Eternity! Im always keeping my options open and my stakes high!
So many people are single now days. Some say that they are single because they are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife. Now back to you single ladies and gentlemen. Why are you still single??
Siji bana! Nitaboreka nishaona! Watu tuna mishahara ya laki moja, unakutana na watu whining they are under paid kwa kulipwa 10m/month!!!!! I usually feel like vomiting.
Mi nilijua ya ki JF!
Hayo nakuachieni nyie Professionals, wengine tushakuwa wasaka pesa, ethics 0, professionalism F!
Wish u all the fun!
So many people are single now days. Some say that they are single because they are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife. Now back to you single ladies and gentlemen. Why are you still single??
If you belong to one man at a time you are not single.
You are just a serial dater.
So many people are single now days. Some say that they are single because they are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife. Now back to you single ladies and gentlemen. Why are you still single??
niko single kwasababu im too precious to belong to one man only! Its just not fair to the rest!
I only belong to 1 man at a time but not for eternity! Im always keeping my options open and my stakes high!
Ha ha ha mbona unarusha ndege wangu,,, white nilikuwa shamba mbaya si unajua kazi zetu hazitabiriki,,, ila now nipo town kama vipi jioni tusomane kwenye Friends on Friday pande za princess hall,, nitakuwa pande hizo leo nakula lecture la maisha
Siji bana! Nitaboreka nishaona! Watu tuna mishahara ya laki moja, unakutana na watu whining they are under paid kwa kulipwa 10m/month!!!!! I usually feel like vomiting.
Mi nilijua ya ki JF!
Hayo nakuachieni nyie Professionals, wengine tushakuwa wasaka pesa, ethics 0, professionalism F!
Wish u all the fun!
uko singo sababu umeachwaBecause love is not fair
Na ndio maana watu hawakomi.Wanaumizana na wanarudia tena kwenye mapenzi.Asikuambie mtu bana upweke ni mbaya,hawa wote wanajidai single humu wanadanganya.no one wants to remain single they r still searching....
uko singo sababu umeachwa
because we are either heart broken or cannot find a suitable husband or wife