Ushawah kuwaskia Wolfgang Mozart na Ludwig Beethoven? Hao wote waliishi 18th Century. Niambie msanii gani equivalent wa kiafrika wa muda huo alitengenzea mziki quality ya hao jamaa niliowataja? Ukweli mchungu kipindi hicho waafrika tulikuwa porini tunacheza ngoma ambacho ni kifaa ambacho akihitaji akili nyingi
Yaani unazungumzia 18th century? Jana tu hiyo,teh teh teh,
Unapozungumzia Muziki Afrika ndio kwao,vifaa vya muziki ambavyo baadae viliendelezwa na wana taaluma vilikuwako Africa kabla hata 16th century achana na kunambia 18th century.
Kuna kifaa kinaitwa Marimba ni kifaa cha muziki kilikuwako enzi na enzi za mababu zetu,ni xylophone ya kale hiyo,watumwa waliokwenda central amerika wakati huo walikitengeneza na mpaka sasa ni kifaa cha kitaifa katika hiyo nchi ya Guatemala iliyopo karibu na Mexico.Kifaa hiki kimetumiwa na wataalamu wa muziki wakiwemo hao wazungu,mwanamuziki mashuhuri toka uingereza kiongozi wa kundi la rolling stones amekitumia kifaa hiki katika nyimbo kama "under my thumb" na "out of time".
Pia mwanamuziki mashuhuri Elton John,pianist na composer amekitumia hiki kifaa katika nyimbo yake maarufu "Island girl".
Kifaa ukionacho hapo juu kinaitwa Kora kilitengenezwa West Africa karne ya 16(16th century).
Kuna nyuzi 21 pia kimewekewa na ngozi ya ng'ombe kuweka resonator.
Watumiaji wa kifaa hiki hutumia mkono wa kushoto kucheza nyuzi 11 na mkono wa kulia kucheza nyuzi 10,
Hizo nyuzi zina tone tofauti zote zinapopigwa kitaalamu hutoa sauti inayopendeza masikioni,mtu kutengeneza kifaa kama hiki ku adjust hizo nyuzi zitoe tones tofauti na kuweka kitu kama ngozi ili kuweka resonator hana maarifa?
Hajatumia akili nyingi?tofauti na ulivyokuwa unadanganya walikuwa wakicheza ngoma porini eti na ngoma haitumii akili nyingi,nikucheke kwanza.
Najihisi uvivu kuandika ila nikujibu tu kwamba suala la science na teknolojia nipesa,unakose sana kusema nchi za ki arabs zipo nyuma,tembea uone,kuna nchi utafika us utaiona jalala,ila kwa kuwa umelishwa tayari sumu za kimagharibi lazima uwe hivyo,
We unajua ile (drone) ndege ya US iliyoingia kupiga picha za siri za kipelelezi nchini Iran?Unajua Iran ilichofanya?Ndege ile waliiteremsha nzima nzima bila kuijeruhi,
The government of Iran announced that the aircraft was brought down by its cyber warfare unit stationed near
Kashmar[4][5][6][7] and "brought down with minimum damage"
[8] They said the aircraft was detected in Iranian airspace 225 kilometers (140 mi) from the border with Afghanistan
Hbari kamili soma
Iran–U.S. RQ-170 incident - Wikipedia
Bado teknolojia yao ni ndogo?
US aliongea upuuzi mtupu na kwa aibu wakaombwa kuandika barua ya kuomba msamaha ila wakakataa,Kama kawaida yao uongo kama silaha yao wakadai ile ni public technology.
Ila hizo nchi unazosifia marekani amekuwa akizichunguza miaka yote mpaka Snowden alipotoa siri na kukimbia ndio washtuka kumekucha.
Science na teknolojia ni pesa,huwezi kuwa na uchumi mbovu ukawa na science na teknolojia kubwa,unajua Japan iliyumba ki uchumi baada ya ujenzi ule wa reli ya usumaku?
aisee nime choka kuandika,tchao.