Why are jews so smart?

Why are jews so smart?

Sio vibaya kucopy na nimeona mengi ya kujifunza hapo ila ingekuwa kiswahili wengi wangeelewa na hata kuchangia

Ila niwaeleze kisa kimoja kilichototokea London pamoja na akili yote hiyo lakini tafiti hazijaeleza pia utajiri wao huo unaanzia wapi kwani sio kujifunza hesabu wakiwa tumboni au kula samaki na almonds tu.


Kuna mama mmoja CEO alimwita mfanyakazi wake mmoja ofisini na kumpa maelekezo ya kazi.

Alipokuwa anaongea nae akaona cheque imeandikwa £1 kwa udadisi tu akamuomba radhi na kumuuliza huku akitabasamu na kumwambia cheque ya £1 unamwandikia nani?
Mama akamwambia unajua kuwa mimi Nina asili ya uyahudi? (Huwezi wajua wengi mpaka wakuambie)
Hivyo basi hapa nchini kuna wayahudi laki3 kwa (wakati huo) kwa hiyo kila mtoto anapozaliwa tunapata taarifa na kujulishwa wote.

Hapo ndipo kila mmoja wetu hutoa pound moja moja kwa ajili ya mtoto aliezaliwa.

Sasa hebu fikiria account inasoma £300,000 (sh 900m) pindi unapozaliwa tu na hutaigusa mpaka umefikisha miaka 18.
Hapo ni kula sana samaki au maybe just maybe lakini huo ndio ukweli wa hawa jamaa.
Chai hii, imebidi nifuatilie per capital income ya Israel.
 
Unaongelea Ashkenazi Jews amabo ethnically ni wazungu. Wazungu wana high average IQ compared to other races
Unapozungumzia mzungu unazungumzia mzungu yupi?Navyofahamu mimi waScotish(Scotland) toka UK ndio wazungu original wenye nywele za njano na macho ya blue.
Ni sawa na arabs,arab original purely ni wanaotoka Yemen,Ukizungumzia wenye IQ kubwa ni watu toka Singapore,HongKong na Japan ndio wapo in top.
Israel yenyewe hio ipo kwenye 11 au 12 kwenye IQ ranks,jaribu kutembelea mitandao tofauti tofauti kuthibitisha.
 
228326297_77687ca532_o.jpg

Msichana wa Scotland.Mzungu Original.
2rtJvkt.jpg

Jews weusi wapo pia ila sijawahi sikia tetesi wana IQ kubwa,why????
45266a6dde9f1d509111c499664f1168--yemenite-jews-mizrahi-jews.jpg

Mvulana wa kiyahudi purely.
main-qimg-76836778b5b383513283f33ce23b3d47-c

Wayahudi purely.

Ukitazama hapo juu kuna tofauti kubwa kati ya mzungu original,Ashkenazi na Jews wenyewe.
 
Unapozungumzia mzungu unazungumzia mzungu yupi?Navyofahamu mimi waScotish(Scotland) toka UK ndio wazungu original wenye nywele za njano na macho ya blue.
Ni sawa na arabs,arab original purely ni wanaotoka Yemen,Ukizungumzia wenye IQ kubwa ni watu toka Singapore,HongKong na Japan ndio wapo in top.
Israel yenyewe hio ipo kwenye 11 au 12 kwenye IQ ranks,jaribu kutembelea mitandao tofauti tofauti kuthibitisha.

Hiyo definition yako ya mzungu pure ni uongo mtupu. Kuna Anglo Saxons( Scotland,Ireland, Uingereza) , Germanics(France, Germany, Netherlands...), kuna Nordics /Vikings( Finland, Sweden, ) , Mediterraneans( Spain, Portugal ,Italy) na mwisho ni Slavic( Russia,Ukraine,Poland...) Hayo ndo makundi makuu ya wazungu

Ashekanzi Jews ni mchanganyiko ya hayo makundi ila wengi wametokea Eastern Europe

Asilimia 90 inventions duniani zimetokea ulaya kwasababu wazungu wana high average IQ
 
Wadau
Tafadhali pitieni utafiti uliofanywa na Dr. Stephen Carr Leon ukielezea sababu za Wayahudi kuwa na akili nyingi zaidi ya jamii nyingine duniani.

*Since I spent about 3 years in Israel for internship in a few hospital there, it came to my mind about doing research on "Why the Jews are Intelligent."

It goes without denial that Jews are ahead in all aspects of life such as engineering, music, science and most obvly in business - nearly 70% of world trade/business are held by the Jews - in cosmetics, food, fashion, arms, hotels and film industries (Hollywood etc).

During my 2nd year, I was about to go back to California. This idea came to me and I was wondering why God gave this gift/ability to them? Is this a coincidence? or is it man-made? Can intelligent Jews be produced like goods from a factory? My research took abt 8 yrs to gather all the information as accurately as possible, like their food intake, culture, religion, initial preparation of pregnancy, etc and I would compare them with other races.

Let’s start with initial preparation of pregnancy. In Israel, the first thing I noticed is that a pregnant mother wld always sing n play the piano n wld always try to solve mathematical problems together with her husband. I was very surprised to see the pregnant women always carry math books. Sometimes I would help her to solve some problems. I wld ask, "Is this for your child in the womb?" She wld answer, "Yes to train the child still in the womb so that it would be a genius later on". She wld solve maths problems without let-up until the child is born.

Another thing I noticed is abt their food. The pregnant women loved to eat almonds n dates with milk. For lunch she wld take bread and fish (without the head), salad mixed with almonds n other nuts. They believe fish is good for the devt of the brain and that fish head is bad for the brain. And also it is in the culture of the Jews for pregnant mothers to take cod liver oil.

When I was invited for dinner, I noticed that they always like to eat fish (flesh and fillet) and no meat. According to their belief, meat and fish together will not give any benefit to our body. Salad and nuts is a must, esp almonds.

They would always eat fruits first before the main meal. Their belief if you eat the main meal first (like bread or rice) then fruits, this will make us feel sleepy and difficult to understand lessons in school.

In Israel, smoking is a taboo. If you are a guest, don’t smoke in their house, they would politely ask you to go out to smoke. According to scientists in Univs in Israel, nicotine would destroy cells in our brain and will affect the genes and DNA, resulting in generations of moron or defective brain. All smokers pls take note (Ironically, the biggest producer of cigarettes is… you know who...).

The food intake for the child is always under the guidance of the parents., First, the fruits with almonds, followed by cod liver oil. In my assessment, most Jewish children know at least 3 languages, ie Hebrew, Arabic and English. Since childhood they wld be trained in playing the piano and violin - it is a must.

They believe that this practice will increase the IQ of the child and will make him a genius. According to Jewish scientists, the vibration of the music wld stimulate the brain. That is why there are lots of geniuses among the Jews.

Since grade 1 to 6, they wld be taught business mathematics. Science subjects would be their first preference. As comparison, I cld see the IQ of children in California is about 6 years back. Jewish children are also involved in athletics such as archery, shooting and running. They believe that archery and shooting wld make the brain more focused on decision-mkg and precision.
In high school, students are more inclined to study science. They wld create products, indulge in all sorts of projects (although some looks very funny or useless). But all attention is given seriously - especially if it is on armaments, medicine or engineering. A successful project or idea wld be introduced in higher institutes, polytechnics or universities.

The Business faculty is given more preference in the last year of university. Students in business would be given a project and they can only pass if their group (about 10 in a grp) can make a profit of USD1 million !

Don’t be surprised - this is the reality. And that is why half of the business in the world is held by the Jews. Eg.. who designed the latest Levis? It is being designed in an Israelu university by the Faculty of Business and Fashion!

Have you seen how they pray? They always shake their heads - they believe this action will stimulate and provide more oxygen to the brain (same thing with Islam where you need to bow down your head).

Look at the Japanese, they always bow down their heads as their culture - lots of them are smart - they love sushi (fresh fish). Is this a coincidence?

In the USA, the commercial/trading center for the Jews are based in New York - catering only for the Jews. If any Jew has any beneficial idea, their committee will give free interest loans and will make sure the business prosper. Thus Jewish companies like Starbucks, Dell Computers, Coca Cola, DKNY, Oracle, Levis, Dunkin Donut, Hollywood films and hundreds other businesses were given free sponsorship.

Jewish medical graduates in New York were encouraged to register with them and allowed to practice privately with this interest-free loan. Now I know why most hospitals in New York and California always lack specialist doctors.

Smoking will lead to generations of moron. During my visit to Singapore in 2005, I was surprised to see smokers are regarded as outcasts and the price of a pack of cigarettes is about USD 7. Like in Israel it is a taboo. Singapore's form of government is similar to the Israelis. And that is the reason why most of their universities are of high standards, even though Singapore is only as big as Manhattan.

Look at Indonesia, everywhere people are smoking. The price of a pack of cigarettes is very cheap only USD 0.70 cents! The result is millions of people with very few intelligent. You can count the number of universities, what product they produced that they can be proud of, low technology, can't speak other than their own language. Eg why is it so difficult for them to master the English language? All this is due to smoking, their diet, culture.

In my thesis, I do not touch on religion or race - why the Jews are so arrogant that they were being chased around since the time of the Pharaoh until Hitler. For me it is about politics and survival. The bottom line is: Can we produce intelligent generations just like the Jews??

The answer could be yes. We need to change our daily habits of eating, parenting, etc. and maybe within 3 generations, it could be achieved.
This I could observe in my grandson, for example, at the age of 9 he cld write a 5-page essay on "Why I love tomato"

May all of us be in peace and succeed in producing future generations of genius for the betterment of humankind, no matter who you are*
Waweza ingia kwenye google ili upate taarifa zaidi za utafiti huo.
Kuna kitabu kinachoelezea?

Kama kipo kitajwe tafadhari
 
Hiyo definition yako ya mzungu pure ni uongo mtupu. Kuna Anglo Saxons( Scotland,Ireland, Uingereza) , Germanics(France, Germany, Netherlands...), kuna Nordics /Vikings( Finland, Sweden, ) , Mediterraneans( Spain, Portugal ,Italy) na mwisho ni Slavic( Russia,Ukraine,Poland...) Hayo ndo makundi makuu ya wazungu

Ashekanzi Jews ni mchanganyiko ya hayo makundi ila wengi wametokea Eastern Europe

Asilimia 90 inventions duniani zimetokea ulaya kwasababu wazungu wana high average IQ
Usilete mawazo ya kitumwa,kama ungeishi (nahisi bado hujaishi)huko ulaya unakokusifia ndio ungejua wazungu wana IQ kubwa au la,ila kwa sababu unaongea story za kuambiwa lazima utakuwa hivyo,au ungeishi na hao jews ungejua kama wana IQ kubwa au la.
Kwa msaada tu,soma Ugunduzi wa Egypt waliofanya 3000bc,Egypt walijua hesabu thousands of years bc,walitengeneza karatasi na calendar bc,Europe walikiuwa bado,ndio usema wana iq kubwa?Mbona una mawazo ya kitumwa sana wewe kama huishi 21st century?
Basi kama kusoma hutaki sikiliza hata ile nyimbo ya Nas "I can" na ujumbe uliomo uone mtu aliyezaliwa na kukulia Amerika miaka yote anachoongea,na kaishi na hao wazungu unaosema wana IQ kubwa kuliko wewe,sikiliza anazungumza nini kuhusu Africa.Tena kuanzia 2:40 pale sikiliza kwa makini kionjo tu anakwambia wazungu walikuwa wanakija Africa kupata elimu.

Kama una hizi theory za kipuuzi watoto wako wana shida kuwa na mzazi kama wewe.Unaandaa kesho ipi? Unafikiri China wangefika pale wangekuwa na mawazo mgando kama ya kwako?
Nimesema kuwa kila race ina watu wenye IQ kubwa lakini unawatumiaje?
Hao wazungu wanaopitisha ushoga ndio wana IQ kubwa au ushetani ule? Unajua IQ wewe? Ulishasikia China kuna ushoga na serikali imehalalisha?
Ndio mzungu original ni mtu toka Scotland unabisha?
Arab ni mtu toka Yemen,kuanzia Iraq,Iran sijui Afghanistan na kwingine huwezi sema wale ni waarabu pure.
maxresdefault.jpg

Mayweather-post-fight-win.jpg

1470535466-NS_06DenzelPractice.jpg

usain-bolt-of-jamaica-signs-authographs-to-women-fans-after-winning-picture-id102713651

Laiti kama waafrika tungekuwa na tabia ya kujitapa kama wenzetu basi tungekuwa zaidi ya hao wazungu na jews.
 
Hiyo definition yako ya mzungu pure ni uongo mtupu. Kuna Anglo Saxons( Scotland,Ireland, Uingereza) , Germanics(France, Germany, Netherlands...), kuna Nordics /Vikings( Finland, Sweden, ) , Mediterraneans( Spain, Portugal ,Italy) na mwisho ni Slavic( Russia,Ukraine,Poland...) Hayo ndo makundi makuu ya wazungu

Ashekanzi Jews ni mchanganyiko ya hayo makundi ila wengi wametokea Eastern Europe

Asilimia 90 inventions duniani zimetokea ulaya kwasababu wazungu wana high average IQ
Unadanganya watu bila aibu 90% inventions ni wazungu?
Eti wana high average IQ unajua wenye IQ kubwa wewe?
Homework ingia mtandaoni utafute aibu ikushuke.
 
Unadanganya watu bila aibu 90% inventions ni wazungu?
Eti wana high average IQ unajua wenye IQ kubwa wewe?
Homework ingia mtandaoni utafute aibu ikushuke.

Acha kukataa vitu ambavyo ni wazi. Race gani inaongoza kwenye Science and Technology? Huyo China unayemsifia kila siku anaiba technology kutoka Western world na Russia ambao wote ni wazungu

Hiyo simu unayotumia imetengenezwa na mzungu. Hilo gari unalotembelea limetengenzwa na mzungu. Hizo nguo unazovaa zimetengenzwa na mzungu.

Unanipa mifano ya waafrika walioendelea katika sanaa na michezo ? Tangu lini dunia ilibadilishwa na sanaa na michezo? Boss, dunia inabadilishwa na Science and Technology .

Boss, wazungu wanaitwa Caucasians. Maana yake ni kuwa asili yao ni milima ya Caucas amabyo ipo Southern Russia karibia na nchi ya Georgia. Scottish people ni jamii moja wapo ya wazungu Anglo Saxons
 
Acha kukataa vitu ambavyo ni wazi. Race gani inaongoza kwenye Science and Technology? Huyo China unayemsifia kila siku anaiba technology kutoka Western world na Russia ambao wote ni wazungu

Hiyo simu unayotumia imetengenezwa na mzungu. Hilo gari unalotembelea limetengenzwa na mzungu. Hizo nguo unazovaa zimetengenzwa na mzungu.

Unanipa mifano ya waafrika walioendelea katika sanaa na michezo ? Tangu lini dunia ilibadilishwa na sanaa na michezo? Boss, dunia inabadilishwa na Science and Technology .

Boss, wazungu wanaitwa Caucasians. Maana yake ni kuwa asili yao ni milima ya Caucas amabyo ipo Southern Russia karibia na nchi ya Georgia. Scottish people ni jamii moja wapo ya wazungu Anglo Saxons
We unazungumza kitu gani?Ukiacha sports ambapo inaonyesha waafrika ni jinsi gani tulivyo strong muziki nakupa sasa kama ulikuwa hufahamu kwamba ina define IQ ya mtu ndio maana mleta uzi ukisoma alipoelezea jews na quote mstari

It goes without denial that Jews are ahead in all aspects of life such as engineering, music, science and most obvly in business.

Wamezungumzia music halafu nashangaa unachoongea,Kwa taarifa yako hata music ni hesabu,kuanzia kucheza guitar na piano.
N suala zima la michezo pia blacks tupo vyema,michezo inaonyesha afya ya mtu kia akili na kimwili pia,ndio maana mleta uzi na mquote line hii.
Jewish children are also involved in athletics such as archery, shooting and running. They believe that archery and shooting wld make the brain more focused on decision-mkg and precision.

Inabidi nizidi kukushangaa shooting and running ni sports hizo,hapo tunawapata watu kama akina Tiger Woods,Serena yule mama anayecheza Tenis n.k Mkuu dont you see?
Michezo kwa taarifa yako ina define IQ ya mtu na ni kitu kizuri sana kuwahimiza watoto,japo waafrika tunazaliwa na hivyo vipawa na kupuuzia kama wewe, na unawaza tu science and tech,utafanyaje science hali ya kuwa akili imedumaa?
usipuuze.
Science utaifanya ukiwa kapuku?
Unajua budget ya kurusha rocket?
Unajua NASA budget wanayoitumia?
Huwezi fanya science kama uchumi mbovu,Nchi za Amerika na Ulaya huko kote wameiba sana mali zetu mpaka leo wanaiba nakufanikisha majaribio ya science and tech.
Wale ni wavamizi na ndicho wanachofanya sasa middle east,kuchukua kitu cha mtu kwa nguvu,wanajikusanya wengi,US,UK,FRANCE,GERMAN n.k.
Halafu eti wapo juu kwenye Science and Tech.
Msome mtu anaitwa Malcolm X,soma kwa nini aliacha shule na kuwa mkorofi mtaani,baadae akawa mtu ambaye hatosahaulika katika historia,itakueleza kwa nini Africans na akili nyingi tulizo nazo,vipaji n.k kwa nini tunakuwa nyuma naquote mstari toka kwenye biography yake.

During Malcolm's early years, his family moved several times because of racism (dislike and poor treatment of people based on their race). They moved from Omaha, Nebraska, after being threatened by the Ku Klux Klan, a group that believes that white people are superior to all other races. While living in an all-white neighborhood in Michigan their house was burned. When Malcolm was six years old, his father was mysteriously murdered. The black community was convinced that white people had committed the crime. Three of Malcolm's four uncles were also murdered by white people.

Mpaka leo huwa nashangaa sana na kusikitika kuona mu afrika mwenzangu bado ana mawazo ya kitumwa japo kuna internet,vitabu na shuleni pia tunakwenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom