Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
N.B. Siyo kila blonde umuonaye ni blonde.Wengi sana ni fake na ndio maana utakuta hata mwafrika mweusi tii eti na yeye ni blonde!True blondes are very rare.Try taking a trip to Scandinavia, that might enlighten you on the occurence of naturally blonde hair.
You can actually tell a natural blonde from the eyebrows (blonde eyebrows are a tell-tale sign), super fair complexion, ultra-fine hair, and a blonde "fuzz" for body hair.
So Masa next time you think u have gotten urself a blonde, check for the tell-tale signs.
Veracity, nilishaandika hapa kumjibu Fidel, hebu angalia:
Mkuu,
Inawezekana unatafuta artifial blondes (Kama Beyonve vile au Lil Kim).
Tafuta wale wenyewe kama akina Paris Hilton. Kama una nauli nenda kwa Mzee Kishoka (Lennin) na huko utakutana na akina Tania, weee!!!! Wale akina harashoo ni mwisho wa matatizo....... The more you give, the more they come....
Masa,
Huyo Blonde yuko USA nini? Maana wale watu ukichanganya na Blonde, unakuwa umemaliza kazi. Hata baba zao nao hivyo hivyo. Nasikia walikuwa wakimuona Mu-Africa mmoja akipita na baiskeli kila siku kwenda kazini na kurudi nyumbani. Siku moja wakawa wakibishana kuhusu wapi iko Africa. Mmoja akasema iko state nyingie, mwingine akasema ni bara jingine na wa watu akasema "sidhani kama ni mbali maana yule Mpingo anapita hapa kila siku na baiskeli kutoka na kurudi nyumbani........."
NB: Inasitikisha kuwa hao blonde sasa ni wengi. Hata Tanzania wapo (akina Wema Sepetu). Mama kakutoa kwa dhamana na wee unaenda kula denda kwa Jumbe wako. Sasa bwana gani huyo kakuachaniza usote jela?