Mama ndo mpango mzima,{1}kwa wife unanyonya ziwa lisilotoa chochote but la mama lina maziwa muhimu kwa afya na ukuaji wako.{2}Wife anakubeba usiku tena huku kajilaza kwa raha zake but mama alikubeba mgongoni huku akilima na pia kutembea na wewe mabondeni na milimani,juani na kwenye mvua.{3}part inayoingia kwa mwanamke ni moja tu na tena ni sehemu ndogo tu ya mwili wako na kama haitoshi,inaenda kumburudisha sana tu but mama aliuleta mwili wako wote duniani tena kwa uchungu mkuu.>>Therefore mtoto ni wa mama.