Who is Mary Chitanda?


Nakubaliana na wewe, cha msingi hapa ni kujua huyu Mary Chitanda hasda ni nani katika nchi yetu, elimu yake, msaada kwa jamii ya watanzania nk..
 
Ha ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa, hilo nalo neno? we unafikiri kuna kazi kwenye hizo nafasi kiasi cha mimi kusahau JF?hapana,nitarudi hapa JF nakutoa report,kuna mambo mengi sana Jf,siko hapa kwa bahati mbaya na nitadumu hapa labda waifunge.

Michelle, my take is you are joking and you dont mean kwamba utajoin CCM!

Sitta amesema 'mbwa mzee akikaribia kufa anapoteza sense za kunusa'....CCM ni mbwa mzee, haina uwezo wa kunusa hence all the errors and stupid decisions!! Joining will be fatal hata kama unataka kuprove theory! 'Wakikukosa' utatoka na uchafu mwingine! So my advice; dont even think of it!
 

Thank you Alberto for bn wise and concerned. I will have to erase that idea in my mind.
 
 
Thank you Alberto for bn wise and concerned. I will have to erase that idea in my mind.

Sikutofautishi sana na SERA ya Kilimo kwanza na MKUKUTA.... hapo sijakutia machoni utakuwa unafanana na MMEMS
 
mtu yoyote asiye tenda haki hatokani na mungu bali ni wa ibirisi!!!!!!

Kazi ya ibirisi ni kuua na kuchinja na kazi ya mungu ni kuokoa. Hivyo ibiriosi akiua anafurahia mauaji kama anavyofanya mary chitanda


kweli kabisa
 
Ni mbunge wa viti maalum kutoka mkoa wa Tanga na diwani wa arusha(kuteuliwa sijui viti maalum)

Chunguza mambo kwa umakini mama... ni KATIBU WA CCM MKOA... ila Chama Chenu Mpaka ndo kinalazimisha atumie fursa yake ya KUTEULIWA TANGA KAMA MBUNGE VITI MAALUM then aweze kutumia tiketi hiyo hiyo katika halmashauli ya jiji la Arusha.... au wewe ndo Chitanda mwenyewe????
 

Nimependa ulivyopangilia hoja zako, unaonekana kichwani uko vizuri sana
 
Hv kwanini PINDA asibatilishe uchaguzi wa arusha ili urudiwe na kuondoa mikwaruzo? naombeni japo e-mail yake

Pinda is the worst PM ever happen in Tanzania. Don't expect anything tangible from him!
 
CCM Aarusha Regional Secretary, an investor/entrepreneur/businesswoman through MUWA TRADING COMPANY
 

Katika uchaguzi wa meya,yeye alisimama kama diwani na si Katibu wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Arusha.Nafikiri ulipaswa kuelewa hilo,katika sehemu nyingine makatibu wa CCM si madiwani kwa hiyo hawashiriki kwenye chaguzi za Umeya.Fikiri kwa umakini baba si kukosoa kila ninachoandika. Mimi si Mary Chitanda.
 
SASA KAMA NI CHAKULA CHA WAKUBWA WASISEME AU NDO MAMBO YA KUTETEA JENDA! HATA KWENYE UPUMBAVU, AMWOGOPE MUNGU NA KUWAHESHIMU MITUME WAKE, TATIZO HANA WOGA KWA MUUMBA WAKE.n
 
 
 
 
Dont interpret her using stereotype and halo effect perception,even though she's SPECIAL CHAKACHUA AGENT,CHAKACHUA XPERT
 

Baba Tina umechangia hoja kwa uzito sio kama wengine walikuwa wanatutoa katika hoja.
Hapa tujiulize hivi mawaziri kama William Ngeleja, Wasira,Pinda, Omary Nundu, Mkullo, na mawaziri wengine wengi wa CCM ambao kutokana na kuwa mawaziri na imewabidi vituo vyao vya kazi kuwa Dar es Salaam nao waruhusiwe kuingia kwenye mabaraza ya madiwani ya Kinondoni, Ilala, Temeke na katika vikao vya jiji.

Hatutakiwi hapa kuangalia uwezo wa CCM, tumjadili Marey Chatanda ambaye hatuwezi kusema kakurupuka maana kavuka mipaka, kama mtu kapata vyeo kwa kuwa chakula cha mtu hapo hakuna ufanisi wala hatuhitaji elimu yake, ujuzi wake kuujadili hapa.
Jibu pekee tulilonalo katika hili ni hafai FULL STOP.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…