uwe mpole! CV ndo hiyo inayotolewa si kama uzijuavyo wewe bali ziko katika mifumo tofauti jifunze kuelewa comment za wengine hata wewe ukiambiwa uandike CV yako ninaimani utajifagilia hasa pale ulipowahi kufanya kazi vizuri, sasa umeweka watu watoe CV ya Mwema kazi yako kusoma na kuchanganua, nikweli anachapa kazi.