Ni Prof. Eginald Mihanjo..., kama utakumbuka huyo ndo aliyeileta ile dhana ya CCM kujivua gamba.., na hii ndo iliwazaa akina Kinana na Nape na zile safari zao za kukifufua chama.... !
Habari za huyo kada asiyejulikana sana, ziliandikwa sana kipindi kile
Tukubali tukatae,Jk kwny Hili kacheza zaidi ya wengi wanavofikiria
well said....!Chukua like mkuu,wachache wanatambua yaliyojificha nchi hii.
My profesa Mihanjo has been their think tank tangu kitambooo.
Wanaposema ccm INA wwnyewe wanamaanisha haswa.
Mihanjo yuko na strategies za hatareeee zenye mashiko.
Nani anabisha kuwa DEAL ya kupata candidate aliye mtaka MKULU imekufa bila kutegemewa?
MKULU hakutegemea kuwa baadhi ya wanakamati wa CC watatoka nje na kueleza kutofuatwa kwa taratibu za kuwapata 5 bora. Ilikuwa ni kama imetoka kwa Mwenyezi Mungu yaani hao (DR. Nchimbi, Mhs Sofia Simba na Mhs Adam ..) WALIKUWA MALAIKA WAKE!
WANA JF hatuna budi kuwashukuru hawa jamaa hata kama walikuwa wako kwenye kambi ya EL. Maana bila hivyo huyo jamaa wa KUSINI alisha tayarishwa! Imekula kote yaani kwa MUKULU pamaoja na EL.
Tukubali tukatae,Jk kwny Hili kacheza zaidi ya wengi wanavofikiria
Hawa jamaa msingi wao umeegemea kwa PHD holders wa Political Intelligence wako watatu. Hao wadau kwa mara nyingine tena wameiokoa ccm ktk gumu la uchaguzi ndani ya chama.
wanatumia vizuri tiss
Haya tumekusikia kuwa CCM ni tope, tuambie basi hiyo ALMASI iko wapi, CHADEMA..???Sio kwamba nadharau maoni yako mleta mada, bali nashangaa kidogo kuona jinsi ulivyotekwa kirahisi na sarakasi za juzi Dodoma.
Naomba kujifunza CCM imeimarika vipi na wapi? Ni nini hasa kiliisababisha ikadhoofu kiasi kwamba kwa sarakasi za juzi ghafla kila kitu kimeimarika? Yaania waharibu na kushindwa kwa miaka 10 (ya JK tu) kisha kwa siku mbili tu wamefuta kila kosa na sasa "wanastahili" kupewa tena jaribio la KUSHINDWA?
Tusiotumia huo "mvinyo" na tunaobaki kwenye objective issues tunaona kuwa HAKUNA mgombea yeyote atakayetoka CCM ataweza kufanya chochote cha maana zaidi ya alivyofanya Kikwete kwenye hii miaka yake 10 ya kushindwa.
Hivyo ni budi Wananchi wa Tanzania tuwe na misimamo na kumbukumbu zenye afya ili tutoke hapa kwenye tope la CCM ilipotokwamisha kwa miaka yote 50 ya uhuru.