Who is CCM's Architect?

Who is CCM's Architect?

Ni Mwenyekiti kaka, hakuna haja ya kupepesa kama mabaya anabeba basi na mazuri anayabeba pia

Habari.

Napenda kujua ni nani ambaye ni think tank/ master mind wa ccm?

Maana kwadri siku zinavyokwenda ccm inazidi kuimarika, tofauti na kipindi cha senior Makamba, ccm was datoriating every day.

Who is behind ccm success nowadays?
 
Naamin walimpigia magoti mzee sinde warioba, akaunganisha nguvu na akina mkapa, kusekwa bila kumsahau comrade kinana hao wameipa sura mpya ccm itakayopeperushwa na Magufuli
 
Ni Kikwete! Ye ndo mwenyekiti, kama wengine wamefanya vizuri ni sababu ya uongozi na uteuzi wake!
 
Naamin walimpigia magoti mzee sinde warioba, akaunganisha nguvu na akina mkapa, kusekwa bila kumsahau comrade kinana hao wameipa sura mpya ccm itakayopeperushwa na Magufuli

Ccm wana hazina kubwa sana, enough to make the difference.
 
Habari.

Napenda kujua ni nani ambaye ni think tank/ master mind wa ccm?

Maana kwadri siku zinavyokwenda ccm inazidi kuimarika, tofauti na kipindi cha senior Makamba, ccm was datoriating every day.

Who is behind ccm success nowadays?

DZUDZUKU, you're very wrong where colour is red in you post. CCM isn't getting strong, it's 'pulling up its socks' instead! They were caught with their pants down by UKAWA.
Yet, CCM has never seen any success ever; in what? UFISADI, KUAMUA MAMBO BILA KUFATA KANUNI, KATIBU MWENEZI KUAHIDI KUFUNGA BAO LA MKONO, BIBI KIROBOTO BUNGENI KUGANDAMIZA WAPINZANI?????????
CCM failures........ Tunawasubiri kwenye ballots.
 
Habari.

Napenda kujua ni nani ambaye ni think tank/ master mind wa ccm?

Maana kwadri siku zinavyokwenda ccm inazidi kuimarika, tofauti na kipindi cha senior Makamba, ccm was datoriating every day.

Who is behind ccm success nowadays?

aisee hawa jamaa wako very strategical,nadhani advantage waliyo nayo ni kushika dola kwa muda mrefu pia chama chao kina watu wengi walio wahi kuwa usalama wa taifa.

Naona pigo zito kwa upinzani safari hii kwa upande wa "urais".

hongereni ccm hongera jk,hongera Magufuli.

UKAWA tunasubiri kutoka kwenu sasa july 14.
 
DZUDZUKU, you're very wrong where colour is red in you post. CCM isn't getting strong, it's 'pulling up its socks' instead! They were caught with their pants down by UKAWA.
Yet, CCM has never seen any success ever; in what? UFISADI, KUAMUA MAMBO BILA KUFATA KANUNI, KATIBU MWENEZI KUAHIDI KUFUNGA BAO LA MKONO, BIBI KIROBOTO BUNGENI KUGANDAMIZA WAPINZANI?????????
CCM failures........ Tunawasubiri kwenye ballots.

I said so because, in the first reign of president Kikwete, ccm was going down...it was going to die, ila kwa sasa huwezi kulinganisha hali ile na ya sasa.

Mpaka cdm waligomea matokeo ya uraisi unadhani lilikuwa jambo dogo?
 
Habari.

Napenda kujua ni nani ambaye ni think tank/ master mind wa ccm?

Maana kwadri siku zinavyokwenda ccm inazidi kuimarika, tofauti na kipindi cha senior Makamba, ccm was datoriating every day.

Who is behind ccm success nowadays?
Komredi Kinana na Nape wamefanya kazi kubwa.
Wengi wanamnanga Nape lakini alikuwa akiongea kile anachotumwa kufanya.
 
Hawa jamaa msingi wao umeegemea kwa PHD holders wa Political Intelligence wako watatu. Hao wadau kwa mara nyingine tena wameiokoa ccm ktk gumu la uchaguzi ndani ya chama.


nani hao mkuu?
 
Habari.

Napenda kujua ni nani ambaye ni think tank/ master mind wa ccm?

Maana kwadri siku zinavyokwenda ccm inazidi kuimarika, tofauti na kipindi cha senior Makamba, ccm was datoriating every day.

Who is behind ccm success nowadays?

Ni Prof. Eginald Mihanjo..., kama utakumbuka huyo ndo aliyeileta ile dhana ya CCM kujivua gamba.., na hii ndo iliwazaa akina Kinana na Nape na zile safari zao za kukifufua chama.... !
Habari za huyo kada asiyejulikana sana, ziliandikwa sana kipindi kile
 
DZUDZUKU kama umesoma vizuri Jibu langu ni kuwa Viazi ndivyo vilikuwa zao lake kuu la kibiashara. Mimi sikuhadithiwa bali nimefika pale nyumbani na kukaa kwa zaidi ya masaa manne! NAPAJUA. Hayo mazao mengine kayalima lakini ni kama fundi seremala anavyoweza pia kuwa anauza biringanya!

Hongera kwa kufika ndugu.
Thank you.
 
Last edited by a moderator:
Ni Prof. Eginald Mihanjo..., kama utakumbuka huyo ndo aliyeileta ile dhana ya CCM kujivua gamba.., na hii ndo iliwazaa akina Kinana na Nape na zile safari zao za kukifufua chama.... !
Habari za huyo kada asiyejulikana sana, ziliandikwa sana kipindi kile

Acha kupotosha, mkakati wa kuvua gamba alianza nao K/Mkuu Wilson Mukama na sio Kinana
 
Acha kupotosha, mkakati wa kuvua gamba alianza nao K/Mkuu Wilson Mukama na sio Kinana

...read between lines ndugu yangu, nimesema 'uliwazaa' sio 'ulianzishwa'...!
Yaani ni matunda ya....
 
Ni Prof. Eginald Mihanjo..., kama utakumbuka huyo ndo aliyeileta ile dhana ya CCM kujivua gamba.., na hii ndo iliwazaa akina Kinana na Nape na zile safari zao za kukifufua chama.... !
Habari za huyo kada asiyejulikana sana, ziliandikwa sana kipindi kile

mkuu hongera zako,upo sahihi kabisa.
Huyu ndio aliye nyuma ya mafanikio haya ya CCM kwani ni moja kati ya watu wachache wazoefu na makini wa UWT wanaotumiwa sana na JK katika kutengeneza mambo.
Moja ya kazi yake kubwa ni kuwapa semina elekezi kwa DCs,RCs,RASs wapya.
Kwa wale waliowahi fanya naye kazi watakubaliana nami kuwa huyu mzee ni "kichwa"
 
MaCCM majanja sana...

Yani mimi wameniacha kinywa wazi
 
Back
Top Bottom