Who is Benson Bana?

Siku zilizobaki bado ni nyingi sana. Mkapa aliwahi kumteua mtu saa za majeruhi

Ok inawezekana lakini siyo matarajio yake huyu Benson.Matarajio yake ilikuwa angalau apate miaka 3 ya kukamua madarakani.
 

Issue hapa sio PHD, ni matarajio ya maisha baada ya kupata level fulani ya Elimu. Wasomi wengi huwa na matarajio ya maisha ya kifahari wanapofikia level fulani za elimu. Kama ikitokea kinyume chake basi wako tayari kufanya chochote ili watoke ikiwemo kujipendekeza kwa watawala kama anavyofanya Dr Bana na wengine wa calibre yake.
Mpaka hapo sera yetu ya elimu itakapokuwa bora ndipo matatizo kama haya yatapungua.
 

Ivi Huyu Mzee Bado Ni Dkt Tu?Kale Kajopo Kakujadili Kumpa Uprof Vp?
 
Mie nimeipenda hii,

'The most potent weapon of the oppressor is the mind of the oppressed '
 
An iodit and intellectually bankrupt individual.
 
Benson Bana PhD, ni mhadhiri na mwalimu aliyenifundisha Political Science/Public Administration UDSM, ni mwenyekiti mwenza wa REDET pia ni mshauri wa Rais ktk mambo ya siasa.. Kama binadamu ANAMAPUNGUFU YAKE!

Mapungufu ya Bana sio ya kibinadamu, ni ya kimaslahi, Bana ni mtu mwoga, ni kigeugeu ambaye hufuata upepo wa maslahi unakokwenda, mikikimikiki ya kikazi iliyomkuta Prof Baregu ambaye ni homeboy wake imemtisha sana Bana, akaamua kutumikia tumbo Lake tu, taaluma kushoto
 
Ni m$$n@@ng mmoja tumbo kubwaa kichwani sifuri. Anajiita msomi wa UDSM
 
Ok inawezekana lakini siyo matarajio yake huyu Benson.Matarajio yake ilikuwa angalau apate miaka 3 ya kukamua madarakani.

Imekula kwake. Sasa atulie atumie taaluma yake vizuri aache usakaji tonge kwani sasa jua limezama.
 
Huwa anakiwakilisha vyema kile chama cha kijani,
 
huyu ni mdogo wake lipumba.
wamehamisha njaa kuchwani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…