kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
wadau tufahamishane kwa lugha yetu(kiswahili) ingawa swali limeulizwa kwa kingereza.nauliza swali hilo kwa kuwa sasa hivi inayobamba ktk media za kimataifa ni hacker hacker hacker .Tuelimishanae huyu HACKER ni nani.na je kashaingia ktk vyombo vyetu nyeti vya kiusalama hapa nyumbani(TZ)?Wavimba macho wetu(usalama wa taifa)wanauwezo wa kumdhibiti?ni hayo tuu wakuu