Who created ISIS?

Who created ISIS?

Status
Not open for further replies.
kwa hiyo unakubaliana na sources kuwa by few decades huko...WESTERN countries itakuwa Islamic Empire?

with all technologies and resources itakuwa under muslim hands?

kwa kumalizia unalazimika kukubali kuwa western EUROPE and Arab penisula na north Africa all will be Muslim countries by next few generations...

where is that propaganda of ''Islam cannot spread until cohesive means applied?"

MOJA:
(Tukiweka pembeni haya mambo ya hizi dini) Western countries in few years to come hazitaendelea kua technologies centres tena, angalia nchi hizi zilipo sasa kiteknologia then linganisha na zilivyokua miaka hamsini nyuma. CHINA, JAPAN, S.KOREA, INDIA, BRAZIL, NADHANI HAPA utapata jibu mwenyewe miaka ya mbeleni itakuaje

MBILI:
Arabs hawawezi kuisilimisha europe coz walishajaribugi na hawakuweza (Spain), ISLAM in Amerca is Less than 3%, pamoja na kua hawajaachana sana na jews hawana influence yeyote ukilinganisha na jews ( hujiulizi ni kwa nini wakati populations zao hazijaachana sana)? Kiaslili myahudi ana akili kuliko mwarabu mkuu

muslims wengi wa USA waliosilimu ni hawa hawa blacks waswahili wenzetu wenye asili ya pemba mfano Tyson, Ice cube N.K,
Lakini kwa whites bado sana mkuu.

TATU:
"with all technologies and resources itakuwa under muslim hands?"
Muslims/Arabs kuanzia hii dunia inaanza mpaka leo hana akili ya teknologia zaidi ya kuuza mafuta, hamna chochote alichogundua mpaka leo mwarabu kuanzia azaliwe (with reference to jews ambao ndo source ya JUDAISM AND CHRISTIANITY ) SO ISLAM WILL NEVER BE ON TOP CHRISTIAN AND JUDAISM UNTIL THE END OF THIS DUNIA. ISLAM ATAENDELEA TU KUTAWALIWA MKUU NA HAO WAKUBWA ZAKE HAPO HANA UJANJA
 
Hao wahamiaji hakuna mkiristu anaukubali uislamu katu abadani. Ukiona ujue wanafanya research tu basi baada ya hapo wanaendelea na maisha. Mm ninasema hakuna ni kwa maslahi tu. Wazungu wengi nimeshawasikia i was muslim and now i am re-born to christian kiukweli hakunaaaa

No sources then no one will believe you...
 
go to hell, the idea that islam was in some way created by the vatican is not true @ all, let me give you some details maybe u will wake up one day.

1st of all islam has existed since the beginning of time and that it is the natural religion of mankind. Adam (peace be upon him), according to such a belief, was a prophet of islam and was the first muslim.

muslims believe that all the prophets of the old testament, such abraham and moses as well as jesus in the new testament (peace be upon them all) were all prophets of islam.


are all the prophets of history muslim? From a muslim standpoint: Yes! Do christians and jews beleive this.... No! Is this a big deal... Yes! First i will examine the standpoints of christianity and judaism and then the standpoint of islam.

Judaism: Were all the prophets jewish? No, though most of their prophets considered themselves jews, their first prophet abraham was not a jew, he was around before judaism officially exists, and one website about jewish prophets says, "a prophet is not necessarily a jew" (jewfaq.org/prophet.htm) god sent prophet to gentiles as well... Is this a problem?? Yes if jews were the nation chosen by god and judaism is the right religion under god why would god be sending messengers that weren't of his faith? Since judaism is a religion with two dimensions (nationality and religion) one who is not part of the nation chosen by god is not a jew, so why is god sending forth prophets from an unchosen nation? It doesn't make sense.

Christianity: Were all prophets christian? No, even jesus(pbuh) himself wasn't a christian (as muslim we beleive he was muslim), christians beleive he was a jew, even as a christian i knew jesus(pbuh) wasn't christian. For anyone who's curious jesus couldn't have been a christian because a christian is one who follows the teaching of christ (jesus pbuh) and beleives in his death and resurrection, so the only way jesus could've been a christian was after his death and resurrection, so if necessary i'll grant that jesus was a christian for a couple of days (once he was resurrected, according to christian theology) and all the prophets before jesus were not christian. So christians base their faith on prophets who weren't even of the same faith, they follow some rules from the old testament and others they ignore. It doesn't make much sense to have a religion where most prophets aren't even of that religion, does it??

Islam: Are all prophets muslim? Yes!! This can be very hard for some to wrap their head around (even some muslims). I mean didn't islam only come into being in the 7th century? The answer is yes and no, muhammad (saw) brought the final revelation not the first, and certainly not the only. Though many people are correct in saying that the terms islam and muslim are rather recent, but just because one didn't use the same terms to identify something doesn't mean that it wasn't the same thing. For example i live in quebec (a province in canada) originally quebec was called new france, then lower canada, and now quebec, but it is still the same mass of land, still the same place so when we talk about history of quebec we don't stop when it was called lower canada or new france, we go all the way back (even before that) and we recognize that even though it was functioning under a different name it was still quebec. So we will do the same with islam even though it wasn't called islam it was the same religion, because it was the worshipping of a single god who is one.

uongo mtupu huuu kadanganyane huko misikitini mlikozoea kudanganyana!
 
uongo mtupu huuu kadanganyane huko misikitini mlikozoea kudanganyana!
Sidhani duniani kuna wtu waongo kama wakristo, sababu wanasema Yesu alikufa kwenye msalaba kwa kujitolea ili wakristo wote wafutiwe dhambi zao. Wakati Bibilia zao zinasema 27:22 Pilato akawauliza, "Sasa, nifanye nini na Yesu aitwaye Kristo?" Wote wakasema, "Asulubiwe!"
27:23 Pilato akauliza, "Kwa nini? Amefanya kosa gani?" Wao wakazidi kupaaza sauti: "Asulubiwe!"
27:24 Basi, Pilato alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa yanaanza, alichukua maji, akanawa mikono mbele ya ule umati wa watu, akasema, "Mimi sina lawama juu ya kifo cha mtu huyu; shauri lenu wenyewe.
 
Sidhani duniani kuna wtu waongo kama wakristo, sababu wanasema Yesu alikufa kwenye msalaba kwa kujitolea ili wakristo wote wafutiwe dhambi zao. Wakati Bibilia zao zinasema 27:22 Pilato akawauliza, "Sasa, nifanye nini na Yesu aitwaye Kristo?" Wote wakasema, "Asulubiwe!"
27:23 Pilato akauliza, "Kwa nini? Amefanya kosa gani?" Wao wakazidi kupaaza sauti: "Asulubiwe!"
27:24 Basi, Pilato alipotambua kwamba hafanikiwi chochote na kwamba maasi yalikuwa yanaanza, alichukua maji, akanawa mikono mbele ya ule umati wa watu, akasema, "Mimi sina lawama juu ya kifo cha mtu huyu; shauri lenu wenyewe.
Ndugu acha kupingana na Yesu Kristo aliye uzima na amani ya kweli kwako.nakusihi usipoteze neema hii kwako binafsi
 
Ndugu acha kupingana na Yesu Kristo aliye uzima na amani ya kweli kwako.nakusihi usipoteze neema hii kwako binafsi
Huyu aliyefanya waoane hawa?
 

Attachments

  • 1407963770568.jpg
    1407963770568.jpg
    23.5 KB · Views: 62
Ndugu acha kupingana na Yesu Kristo aliye uzima na amani ya kweli kwako.nakusihi usipoteze neema hii kwako binafsi
Acheni ujinga wakristo, hata bibilia zenu zinasema binadamu hawezi kumuona Mungu akaishi, sa wangapi walimuona Yesu na wakaishi. Tukiwambia huyu Paulo kawatekeni akili mnabisha, si unajua muongo hata uongee uwongo vipi lazima kuna point utanaswa tu.

Tazama Agano la Kale katika kitabu cha kutoka 33:20, Mungu anamwambia Musa:"Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi".

Tuendelee katika kutafuta point zingine kuonyesha Yesu si Mungu.



"Sikieni, enyi Israel: Bwana Mungu wetu ni Mungu Mmoja tu" (Marko 12:29)

"Na Mola wenu ni Mungu mmoja tu: hakuna Mungu mwingine isipokuwa Yeye". (Quran 2:163)

ukristo unababaika kueleza maana ya "Mungu mmoja" tatizo hilo halipo katika Uislamu.

"Wamekufuru wale wasemao - Mwenyezi Mungu ni mmoja katika (wale waungu) watatu - (yeye ndiye wa tatu wao). Hali hakuna Mungu ila Mwenyezi Mungu mmoja (tu peke yake). (Quran 5:73)
 
Propaganda at work, ISIL wamefukuza na kuua wakristu Mosul, ndivyo walivyoagizwa na western countries?. ISIL ni kundi la waislam wenye itkadi kali, muache kubebesha watu wengine mzigo wa Mohammed

Hapo ndio wakristo WA third world mnapokwenda mchomo .Mzungu hana dini inayoitwa ukristo .Dini ya mzungu Ni maslahi na Mungu wake Ni Pesa. Ukristo madhali unampatia pesa Afrika ataulinda.Hata hizo dini za kiafrika zikimpatia pesa atazilinda na ndiyo akamweka mungu WA wakristo kuwa Ni mzungu. Ulaya hakuna ukristo umeshakufa.Makanisa mengi yanauzwa hayana watu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom