Who created God? Who made him? Where did he come from?


Ndugu yangu,mbaya zaidi kwa waleamavu wa akili hawa ni kuwa, wanataka ushahidi kuwa Mungu yupo, ukiwaambia wakupe aina ya ushahidi wautakao hawatakaa wakupe milele...Hatuna njia nyingine ni kuwasaidia katika imani yao hiyo (japo wanakataa kwamba wao hawana imani)...Tabu tupu kumfariji mtu aliyeishi na msongo wa mawazo karibu maisha yake yote,kumtofautisha na mlemavu wa akili perse (kichaa) ni busara tu lakini wapo sawa.
Wanachuki ni kwa nini watu wanamwabudu Mungu,kwamba Mungu yupo au hayupo wao hawajui,lakini chuki waliojijengea kwa Mungu inawatesa muda wote,na ibilisi hana hata haja nao maana hawana thamani mpya kwake.
 

Red; kichaa kinajionesha kabisa,ulimwengu wa Atheist ndiyo ambao hawajui kuchomoza kwa jua kesho,nio bora ueleze kama hujawahi jua kuwa jua linachomoza kesho maisha yako yote,huku kila kesho ikifika jua linachomoza (mfano wa mazoingira ya East Africa) sijui binadam wa mawazo ya kiranga uzima uko wapi jamani...kwenye mduara wa reasoning and logic conflictions, typically ziwasumbuazo vichaa wote duniani.
 
Wakuu nani amemwumba MUNGU?binadamu kamwumba Mungu au mungu kamwumba binadamu,,kila jamii wanamungu wan,wakristo wanamungu wao wanasema anapatikana kila mahali waislamu nawao pia wana mungu wao anapatikana maka ndyo mana ibada zote wanaekea maka,wabuza nao wahindi nao,sasa nauliza nani kamuumba mwenzake?GOD OR MAN?Ref musa alipokuwa mliman sinai akakvta wanawaisrael tayari wamemuumba mungu wao.Karibuni kwa hoja
 
Kila mtu jibu atakalokupa litakuwa sahihi kulingana na Imani yake..., Imani ni ya mtu binafsi na jamii inayoamini kile anachokiamini yeye, kwahio tegemea majibu mengi, yatakayobishiwa na watu wengi, ingawa yote yatakuwa sahihi kulingana na Imani husika
 
Kamuulize Mungu hilo swali, unatuuliza binadamu ambao tunaishi kwa imani tu ya kwamba kuna Mungu?.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI
 
Kuana miungu wengi sana,aliyewaumba hafahamiki.Kwa wakristo wameambiwa na mungu wao " mimi ni mungu mwenye wivu,usiwe na mungu mwingine ila mimi" maana yake wapo miungu wengine.
 
Wewe utakua na stress sana dogo...nimekusoma!


Na siku zote mtu ukiwa na mashidaaaa...kila kitu hakiendi ndio hua mnakuwaga na mawazo ya ajabu namna hii.


But, kiufupi...sio tatizo lako...ni shetani tu anakusumbua.

Coz kazi ya shetani ni kukutesa mpaka ahakikishe unamtusi Mungu huku ukiwa na maumivu na kuona Mungu hayupo kwasababu huoni umuhimu wake....eti kwasababu hajakusaidia kupata kazi nzuri au maisha mazuri.


Ni pm nikushauri dogo
 

Hapo ndipo upeo wako wa kufikiri umefika mwisho, kama wewe ni muumuni mzuri wa dini yako bora ukae kimya usije ukakufuru maana mwishowe utaanza kusema MUNGU hayupo.
 
Mawazo mengine mafupi sana jamani!
Sikutegemea mawazo kama haya kukutana nayo humu!
AIRE MAN pole sana!
 
Last edited by a moderator:
Wenyewe wanasema ni MUNGU uncaused cause, wanakubali MUNGU hajaumbwa lakini hawawezi kukubali kuwa ulimwengu haujaumbwa.

Kama kuna uwezekano kuwa MUNGU hajaumbwa basi hata ulimwengu unaweza kuwa haujaumbwa.
 
kwa nini iwe kumuumba na sio kumtengeneza ???????

Kuumba is more fundamental than kutengeneza.

Kutengeneza can be just putting different pre existing parts together.

Kuumba is creating from scratch.

So, going back to the question, the interest is in the genesis of god, not any later patching up.

Kabla ya kujibu swali inabidi tukubaliane kwenye kum define huyu mungu anayeongelewa hapa ni mungu gani?

Kwa sababu those of us bent on etymology could argue "mungu" has the same root as "mzungu" and split atoms towards the antipodes like a CERN Large Hadron Collider gone astray, only to find that we are not only operating on different wavelenghts, but totally outside the entire electromagnetic spectrum known to JF.
 
Soma yohana 1:1 hapo MWANZO kulikuwako neno naye neno alikuwako kwa Mungu naye neno alikuwa Mungu.

Mungu ni mmoja mwenye nafsi tatu ndani yake (baba ,mwana na Roho mtakatifu). Wengine wote waliosalia ni miungu.

Aliyekuwako aliyeko na Atakayekuwako.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…