Aksante, Cha msingi ni approach ya kuprove mambo hayo, ugumu unakuja pale watu wanapotaka kuprove mambo ya mungu kutoka kwenye inferences zao, ukiangalia hata kwenye post aliyoniquote kiranga apo chini utaona anasema "Wanafalsafa wamejadili proofs za mungu, mpaka wengine wamesema haiwezekani kuwa "proved". yaani utumie approach za watu ambao kwa kiwango kikubwa tu hawaamini mambo ya mungu kuprove uwepo wake, inawezekana vipi.
Approach sahihi ni hii.
1. Kwanza, Mungu Mwenyewe ndio anatakiwa approve uwepo wake, kutokea kwenye Biblia, kuna maandishi ambayo yanaonyesha kwamba yuko tayari kuwa challenged anasema "njooni tusemezane" na maeneo mengine mengi tu.
2. Pili, tukubali kwamba, kutokea kwenye Biblia, Yeye Mwenyewe Mungu athibitishe kutokea kwenye maandiko yake juu ya yale yote yanayobishaniwa juu yake, uwepo wake, nani kamuumba n.k
Ukifikia hapa, basi inabidi watu kama kiranga wawe tayari kuwasilikiza wale wanaompresent Mungu wanahoja gani, kwa approach zao wenyewe, approach zinazoeleweka lakini sio za kulazimishana na kusingizia imani kama wengi wanavyofanya.
then it becomes simple to prove it.
People created god..
No one knows the truth on whether the sun will rise tomorrow or not.
Yet almost the entire thinking population of this world carry on as if the sun will rise tomorrow.
Is it unreasonable to live today as if the sun will rise tomorrow?
By your logic, you make it seem unreasonable.Because no one knows the truth for sure.
You don't need to be 100% sure (an illusion anyway) to be reasonable.
And this question is not on the hinge of 50% by any stretch of imagination.
kwa nini iwe kumuumba na sio kumtengeneza ???????
Waiting to see how you will steer this wheel.
I haven't seen you in action in quite sometime.
I wanna see that prowess that makes me tick. Go.
Wakuu nani amemwumba MUNGU?binadamu kamwumba Mungu au mungu kamwumba binadamu,,kila jamii wanamungu wan,wakristo wanamungu wao wanasema anapatikana kila mahali waislamu nawao pia wana mungu wao anapatikana maka ndyo mana ibada zote wanaekea maka,wabuza nao wahindi nao,sasa nauliza nani kamuumba mwenzake?GOD OR MAN?Ref musa alipokuwa mliman sinai akakvta wanawaisrael tayari wamemuumba mungu wao.Karibuni kwa hoja
Mawazo mengine mafupi sana jamani!
Sikutegemea mawazo kama haya kukutana nayo humu!
AIRE MAN pole sana!
kwa nini iwe kumuumba na sio kumtengeneza ???????