Hatujuwani
Member
- Oct 11, 2011
- 51
- 10
Hakuna asiyejua nini maana ya mapenzi, kila mmoja wenu hapa nadhani hili swala analijua vizuri ingawa kwa mitazamo tofauti.
Sasa basi hivi majuzi nilitokea kukutana na madada wawili kwa nyakati tofauti, katika kutaka kuwajua vizuri nikaja kugundua kwamba mmoja ni Bamedi anafanya kazi baa fulani maeneo ya RIVER-SIDE Ubungo na anaishi hapo hapo Baa. Mwingine ni mwanafunzi wa chuo (UDSM) anaishi Mabibo Hosteli, Wote ni wazuri kiasi ingawa sijui tabia zao.
Hivyo basi nataka kujenga mahusiano ya kimapenzi na mmoja wapo, ila kabla sijafanya hivyo nilikuwa naomba ushauri wenu kati ya hao watu ni yupi bora anayeweza kuwa na mapenzi ya dhati kutokana na mazingira wanayoishi?
Ni ushauri tu naomba...
Sasa basi hivi majuzi nilitokea kukutana na madada wawili kwa nyakati tofauti, katika kutaka kuwajua vizuri nikaja kugundua kwamba mmoja ni Bamedi anafanya kazi baa fulani maeneo ya RIVER-SIDE Ubungo na anaishi hapo hapo Baa. Mwingine ni mwanafunzi wa chuo (UDSM) anaishi Mabibo Hosteli, Wote ni wazuri kiasi ingawa sijui tabia zao.
Hivyo basi nataka kujenga mahusiano ya kimapenzi na mmoja wapo, ila kabla sijafanya hivyo nilikuwa naomba ushauri wenu kati ya hao watu ni yupi bora anayeweza kuwa na mapenzi ya dhati kutokana na mazingira wanayoishi?
Ni ushauri tu naomba...