Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,121
- 136,886
Ndo maana Bush hakwenda? Wana ya kwao.
Hakwenda kwa sababu ya afya kudorora na si vinginevyo.
Ndo maana Bush hakwenda? Wana ya kwao.
Ukute mwandishi kazaliwa
'90+, hiyo kwake ni historia kama sie tunavyosoma vita vya kwanza vya
dunia
Ndo maana bush hakwenda wapi?
Kwani hata kama wewe ungezaliwa 84+ si mambo ni hayo hayo? tena anaweza akawa ana ujuaji wa hayo mambo zaidi yako wewe wa zamani
Hivi mie kwenye post nimesemaje, Bush Senior au Junior? Sasa Mandela aliachiwa 1990 nani akiwa Raisi, Bush Junior au Junior? Mnaelewa maana ya Junior na Senior lakini? Angalia nani ni mediocre mind ukiangalia hapa;
GeorgeW Bush (Junior)
43[SUP]rd[/SUP]US President
January20, 2001 January 20, 2009
George HW Bush (Senior)
41[SUP]st[/SUP]US President
January20, 1989 January 20, 1993
Tatizo mnavuta bangi zilizochanganywa na kinyesi halafu ndio mnakuja huku JF
Shabiki mwingine wewe, unarukia mambo bila kuangalia chanzo cha kelele, na wewe unajiunga kupiga kelele.
Hakwenda kwa sababu ya afya kudorora na si vinginevyo.
Nadhani aliyekwenda ni Bush Junior, sio Senior. Junior alikuwa raisi, 2001, wakati Mandela alishaachiwa, tangu 1990.
Kanizodoa mie?
Msome kati kati, ya mistari sio miguu
ha ha kumzodoa Kongosho maana yake nini!
Hakwenda kwa sababu ya afya kudorora na si vinginevyo.
George W Bush alikwenda
mkuu unamwona castro lakini nyuma yake kuna Russia mkuu, hapa ndipo ugomvi wa kinyuklia na vita baridi uliponukia na kuhatarisha uwepo wa vita ya dunia ya 3. hii ni more complicated. thats why castro na mdogo wake raul wameshindwa kung'atuka madarakani ili kupisha uchaguzi wa kidemokrasia mpaka leo.Hawa watu wanashanga za sana.
Wao wanamsifia Mandela kwa kusamehe watu waliomfunga miaka 27, kuua ndugu zake na kuwabaka pamoja na kuwanyima vizazi vya ndugu zake elimu. Lakini wao mtu wanayetofautiana naye ambaye hajawafanya chochote kama Castro kugusana naye mkono tu wanaona big deal.
Kwa lugha nyingine ni kama wanamuona Mandela mjinga sana kuwasamehe makaburu!!!
Ndo maana Bush hakwenda? Wana ya kwao.
Hawa watu wanashanga za sana.
Wao wanamsifia Mandela kwa kusamehe watu waliomfunga miaka 27, kuua ndugu zake na kuwabaka pamoja na kuwanyima vizazi vya ndugu zake elimu. Lakini wao mtu wanayetofautiana naye ambaye hajawafanya chochote kama Castro kugusana naye mkono tu wanaona big deal.
Kwa lugha nyingine ni kama wanamuona Mandela mjinga sana kuwasamehe makaburu!!!
Hawa watu wanashanga za sana.
Wao wanamsifia Mandela kwa kusamehe watu waliomfunga miaka 27, kuua ndugu zake na kuwabaka pamoja na kuwanyima vizazi vya ndugu zake elimu. Lakini wao mtu wanayetofautiana naye ambaye hajawafanya chochote kama Castro kugusana naye mkono tu wanaona big deal.
Kwa lugha nyingine ni kama wanamuona Mandela mjinga sana kuwasamehe makaburu!!!
Hawa watu wanashanga za sana.
Wao wanamsifia Mandela kwa kusamehe watu waliomfunga miaka 27, kuua ndugu zake na kuwabaka pamoja na kuwanyima vizazi vya ndugu zake elimu. Lakini wao mtu wanayetofautiana naye ambaye hajawafanya chochote kama Castro kugusana naye mkono tu wanaona big deal.
Kwa lugha nyingine ni kama wanamuona Mandela mjinga sana kuwasamehe makaburu!!!