Kwa madaktari JF,
Je,mtu mwenye "white blood cells" chache mwilini na kadiri ya vipimo vya kitaalamu hana maaradhi yanayomsumbua kwa wakati huo,anapaswa afanye nini ili kuuwezesha mwili kuzizalisha kwa wingi zaidi ili ziweze kufikia viwango vya kawaida kwa mwanaume mtu mzima? Je, kuna dawa gani au vyakula gani vya kuwezesha hilo?
Je,mtu mwenye "white blood cells" chache mwilini na kadiri ya vipimo vya kitaalamu hana maaradhi yanayomsumbua kwa wakati huo,anapaswa afanye nini ili kuuwezesha mwili kuzizalisha kwa wingi zaidi ili ziweze kufikia viwango vya kawaida kwa mwanaume mtu mzima? Je, kuna dawa gani au vyakula gani vya kuwezesha hilo?