Gud guy
Member
- Nov 23, 2011
- 18
- 2
She is 20+ and I'm 25yrs old, the love i feel for her is real, lakini kwa bahati mbaya nashindwa kumwambia.
Tunawasilana sana kwa simu, ila kinachonifanya nashindwa kumwambia what i feel for her ni kwa sababu ananiharibia pozi lote kwa kunipa shikamoo na kuniita kaka.
To be honest ni kwamba sijawahi kumpenda mwanamke yeyote kama huyu na nisingependa kumkosa.
But I don't know where to start, if she only c me as brother how will she take it.
Tunawasilana sana kwa simu, ila kinachonifanya nashindwa kumwambia what i feel for her ni kwa sababu ananiharibia pozi lote kwa kunipa shikamoo na kuniita kaka.
To be honest ni kwamba sijawahi kumpenda mwanamke yeyote kama huyu na nisingependa kumkosa.
But I don't know where to start, if she only c me as brother how will she take it.