Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,054
Kunywa mkojo? eti ni dawa? Kazi kweli kweli. Inabidi niunywe when Unconscious la sivyo haupiti kooni nakwambia bibie
mbona gongo inapita!!!!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunywa mkojo? eti ni dawa? Kazi kweli kweli. Inabidi niunywe when Unconscious la sivyo haupiti kooni nakwambia bibie
KELLY,wewe ndio DINAH wa bongo radio nini?
kama zipi?mungu akusamehe,its because of sacrifices za watu kama ghandi that today,wewe you are at peace
Siweiz kuwa karibu na walevi wa matapu tapu yeye bora azime.....mimi nina heshma zangu na hekalu la bwana halinyweshwi matapu tapu yasiyopimwa......
...mtu wa karibu NN nae anamkimbia akilewa...unafahamu ile pombe ukinywa sharti ufunge suruali chini na kamba....
mbona gongo inapita!!!!!!!!!!!
hhahaha hell no mimi siyo dinah!....me sifundishi ngono!....mimi ni kelly promota i talk and think money only!
Kunywa mkojo? eti ni dawa? Kazi kweli kweli. Inabidi niunywe when Unconscious la sivyo haupiti kooni nakwambia bibie
promota majalala....fanya importation ya totoz za sheli sheli na za kihabeshi....hata cuzin wako mwanakijiji lazima apige kapelo njano,dingrizi nyekundu na tshirt ya zambarau ajichanganyehhahaha hell no mimi siyo dinah!....me sifundishi ngono!....mimi ni kelly promota i talk and think money only!
promota majalala....fanya importation ya totoz za sheli sheli na za kihabeshi....hata cuzin wako mwanakijiji lazima apige kapelo njano,dingrizi nyekundu na tshirt ya zambarau ajichanganye
it makes me wonder,cause you seem to have all answers on your lap just like DINAH
kama zipi?
pacifism
Karaha tupu yaani.Halafu wana tabia nyingine ya kutematema hovyo mate ya matambuu..noma kweli
Namkumbuka bibi mmoja hivi mitaa ya Upanga karibu na Shaaban Robert alikuwa anaitwa Rabiya...ebana huyu bibi alikuwa anatema mate kama Kobra. Halafu ilikuwa ukimuudhi anakuonyesha uchi wake....ni wazi huyu bibi alikuwa amerukwa na akili. Sijui sasa hivi yuko wapi au hata kama bado yuko hai
Namkumbuka bibi mmoja hivi mitaa ya Upanga karibu na Shaaban Robert alikuwa anaitwa Rabiya...ebana huyu bibi alikuwa anatema mate kama Kobra. Halafu ilikuwa ukimuudhi anakuonyesha uchi wake....ni wazi huyu bibi alikuwa amerukwa na akili. Sijui sasa hivi yuko wapi au hata kama bado yuko hai
wewe nyani ngabu,unaleta vipi mfano wa RABIYA humu-yule mama chizi kabisa-wewe nyani umuogopi mungu
Kumbe na wewe unamjua Rabiya? Aisee yule bibi noma.....
umesoma India nini?....mji gani my cousin anasoma huko pia.
Kumbe na wewe unamjua Rabiya? Aisee yule bibi noma.....
umesoma India nini?....mji gani my cousin anasoma huko pia.