Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
- Thread starter
- #21
fun gani kuruka ruka na kutoka majasho....fun ni kama niliyokuambia...
style ya old skool siyo kama hizi zenu nyie mnaruka hadi mnatokwa na jasho...wee mtoto mdogo tatizo lako so hujui fun ya old skool enzi hizo unavaa buga luu una bonge la froo na raizoni alafu watu wanacheza twist...ile ndiyo fun...na watu wanakuwa wanahave fun kisawasawa na wala siyo kufukuzia mademu ila business only how to make money and be millionare... you talk big!....
Huyo YNIM unaemtafuta alizamia harusi basi kautwika matapu tapu yu hoi....hata akija hapa sidhani kama mtaelewana lugha.....si unajua mtu akilewa anavyotema yai gumu..
duuh nigga kumbe ni wedding crasher?...poor him!