NICK2275
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 3,931
- 918
hapo nilipo-bold-kama Mungu alikuwa ameshawapa nchi yao-huoni kuwa hao wapelestina ndo wanatakiwa kuondoka hapo-si kwao1.baba wa wayahudi wote ni A/Ibrahim,yeye alitoke nchi ya Mesapotania kwa sasa ni Irak. Alipofika kwenye nchi aliyoambiwa na mungu atamwonyesha alikuta watu wanaishi pale.(palestina)neno Israel ni mwana wa Yakobo,watoto wa A/Ibrahim ni Yakobo na Ísaka. Warumi ndo walokuja kuwatimua wayahudi kwenye ardhi ya palestina,wakakimbilia sehemu mbalimbali duniani sanasana ukaya haswa german. Walirudishwa palestina mwaka 1945. Kwa hiyo ardhi wanayokalia kwa sasa c yao ni ya wa-palestina. Pale wanewekwa na UN,wao kwa kutumia mabavu kwa msaada wa USA wamewanyanganya wapalestina ardhi yote. Kwa sasa palestina hawana nchi,wana makazi na ni taifa kwa kuwa tu wana lugha,mila,na utamaduni wao...faida ya vita ya pili ya dunia ni.: 1 kama c hitle kusingekuwa na israel (2)kama c hitle kusingekuwa na korea kusini na kaskazini (3)kama c hitler kucngekuwa un