kwa hiyo hii hatari inaninyemelea na mimi sio?ha ha ha Bacha, hio sig ningekua nimebadilisha, nina sig inahusiana na
Budget but inanigomea kua it is too big... sijui hapa ya CPU au Mbu inakuwaje...
Mimi pia nawapenda saaaaaaaana! Nilitaka kuumwa these few weeks...lol..
Naujua na ninao dear...Thanx jaribu kutafuta usikize utaufurahia
sikatai msimamo wako, naupenda na ninauheshimu!
lakini kama basi hicho ndo kigezo chako katika kuolewa,
Hivi ikitokea kuwa huyo mume/bwana mbele ya safari performance yake ikawa poor,
either kwa matatizo fulani fulani, utafanyaje?utamkimbia au?
kwani ushatuambia hapa kuwa hiyo kitu ndo super glue ya uhusiano wenu....................
To be honest mie nilimfundisha mume wangu kukiss navyopenda mimi, mambo yote yalikuwa muswano ila kiss ilikuwa haijakaa vizuri lakini sio kwa maneno, kwa vitendo, akitaka kunikiss kivyake napeleka kichwa pembeni then namkiss navotaka mpaka aka adopt bila maneno wala kukerekaMmm!hivi ni kweli katika maisha yetu haya halisi,
huwa tunafundishana haya mambo au tunajikuta,
kwamba kila mtu huwa anayafanya kwa jinsi anavyojua yeye,
na tunaona ni sawa!!!!!
kama Bishanga Abashaija.........lol......wapi chuo ya kupiga kiss nika enroll?Ni kweli Gaga,kuna watu wengine lol..
utajuta, anakujazia mimate tu mdomoni huku kakunja sura kweli.........................
ha ha ha ... a person who controls a kiss and makes it memorable to me is 70% a mans effort!
kama Bishanga Abashaija.........lol......wapi chuo ya kupiga kiss nika enroll?
To be honest mie nilimfundisha mume wangu kukiss navyopenda mimi, mambo yote yalikuwa muswano ila kiss ilikuwa haijakaa vizuri lakini sio kwa maneno, kwa vitendo, akitaka kunikiss kivyake napeleka kichwa pembeni then namkiss navotaka mpaka aka adopt bila maneno wala kukereka
msalie Mtume Asha!Haya maswali ndo yalinikimbiza for nilinusa...lol..
Naamini katika mapenzi viwango vimetofautiana mkutanapo wawili hata woote
muwe ma Gwiji kiasi gani... ndo maana (watu don't admit this...) but mara nyingi
first trials na mtu usiemfahamu hua failure in most cases.. Siku zisongapo mnasomana
na kufundishana... hata Kiss ikiwa part of that process ingawa hawezi fikia mjuzi...
Hata hivyo Bacha siwezi olewa na mtu hayupo fit, for sex is a very important part of a relation ship...
Unaenda wapi mtoto? embu tulia hapa mpaka bishanga na bacha wajue kukissBacha mimi ni mwanamke wa Kiafrika asilia, wanawake ambao tumefundwa kua anything
can happen but that does not make me nichukue mtu mwenye madhaifu mapema labda kama
lasolvika for napenda saana tena mno, am a one man woman... sitataka niwe unfaithful..
ikitokea kua kapata matatizo... nitavumilia maana kuna ya muhimu zaidi mnapokua wenza..
Maongezi yaangu hayo yasikufanye ufikiri i can not live withou Sex... but i bliv ni mhimu..
Nakimbia rasmi uzi huu... Kwaheri Gaga...
Gaga na Asha..........je mna swali la nyongeza? Mtambo wa chuma umeongea hapo!unajua bishanga, wakina dada huwa mara nyingi,
wanajiona wao ni good kisser kuliko wanaume,
sijui kwanini huwa wana mtizamo huo!!!!!!
Lakini kiukweli wao ndo huwa wanatuangusha sometimes,
wakina baba twaweza kukiss vizuri endapo
tunakutana na mdada anaejua kujiweka katika mkao ulio sahihi kabisa!!!
Asha ?Gaga naomba msije na hasira hapa..........................
To be honest mie nilimfundisha mume wangu kukiss navyopenda mimi, mambo yote yalikuwa muswano ila kiss ilikuwa haijakaa vizuri lakini sio kwa maneno, kwa vitendo, akitaka kunikiss kivyake napeleka kichwa pembeni then namkiss navotaka mpaka aka adopt bila maneno wala kukereka
Bacha mimi ni mwanamke wa Kiafrika asilia, wanawake ambao tumefundwa kua anything
can happen but that does not make me nichukue mtu mwenye madhaifu mapema labda kama
lasolvika for napenda saana tena mno, am a one man woman... sitataka niwe unfaithful..
ikitokea kua kapata matatizo... nitavumilia maana kuna ya muhimu zaidi mnapokua wenza..
Maongezi yaangu hayo yasikufanye ufikiri i can not live withou Sex... but i bliv ni mhimu..
Nakimbia rasmi uzi huu... Kwaheri Gaga...[/QUOTE]
wewe kimbia tu, lakini ukumbuke kurudi ili uage vizuri..................
Asha leo umelikoroga,unalo!sikatai msimamo wako, naupenda na ninauheshimu!
lakini kama basi hicho ndo kigezo chako katika kuolewa,
Hivi ikitokea kuwa huyo mume/bwana mbele ya safari performance yake ikawa poor,
either kwa matatizo fulani fulani, utafanyaje?utamkimbia au?
kwani ushatuambia hapa kuwa hiyo kitu ndo super glue ya uhusiano wenu....................
Gaga huwezi amini kuna mtu kaniPM anataka anifundishe kunyamnyam,ngoja ni log off ,nikishahitimu nitaleta ripoti kwenye uzi huu huu,byeeeeeeeeeeeeeeeee na ninakutakia mapenzi mema na mwenza wako!Unaenda wapi mtoto? embu tulia hapa mpaka bishanga na bacha wajue kukiss