When you are jobless!

When you are jobless!

Kinyozi wetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2014
Posts
324
Reaction score
194
Naomba kila mtu atoe ushuhuda wa nini kilimpata au alipitia madhira gani kipindi hana kazi. Inawezekana ni kipindi umemaliza masomo na umerudi nyumbani na umekaa muda mrefu bila kazi au ulikuwa umesimamishwa au kufukuzwa kazi. Familia, marafiki, ndugu na jamaa walikuchukuliaje.
 
Really stressful, ilifika time sijui nitakula nini, walio nizunguka walinielewa tu. Kwa vile nilikuwa ni mtu wa busy, nilifukuzwa kazi bila ya kutarajia, nilijifunza pale nilipo kuwa sina kazi kuwa, kazi ni ile ulio jiajiri, sio hii ya kuajiriwa, nilijipanga upya baada ya kupata kazi nyengine, ili siku za usoni niwe na ajira nilio jiajiri na kuwajiri wengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom