When will Tanzania allow people to earn online?

Travis Walker

JF-Expert Member
Apr 10, 2017
323
332
Natumai uko mzima wa afya. Kwenye miaka hii mpaka 2020 watu wamekuwa na ndoto na kiu kubwa ya kuweza kutoa hela kutoka Paypal. Kwasababu watu wengi wana mawazo ya kujipatia kipato online na inawezekana kufanya hivyo ila kikwazo ni Paypal kutofanya kazi Tanzania kwa ku withdraw hela . Kwakuwa Paypal ndio njia rahisi inayoshawishi kufanya malipo online kwa haraka sana.

Sababu za kuzuiliwa Paypal kutofanya kazi Tanzania kwa kuwaruhusu watumiaji wake kutopokea hela ni kuwa Benki kuu ya Tanzania ilikataa kushirikiana na Paypal wakihofia wizi na utapeli wa mitandaoni utazidi.

Tupia mawazo yako jee ni njia gani tunaweza kutumia Paypal tukiwa Tanzania kwa ajili kupokea hela?
Nazungumzia Paypla Business Account.

Changieni kwa wingi ili wakuu wapate kuona pengine wanaweza kulifikiria tena hili
 
Kwakuwa Paypal ndio njia rahisi inayoshawishi kufanya malipo online kwa haraka sana.
hapa inategemea una define vipi neno 'rahisi'

baadhi ya policies (kupokea) za Paypal zimeshindwa ku comply na matakwa ya BoT ndio maana imepigwa pini,

ila hii haikufanyi uache hustles za kusaka mtonyo uko 'online'

kuna western union(WU), moneygram na Skrill

binafsi natumia WU, imeboreshwa vema sana, ina app, una link na bank account , so mtonyo unaingilia uko

fees za utumaji imepungua, reference: kutoka UK/US mpaka TZ, fee ni $4.0 kwa kila $100 ya utumaji , na rate yao ni around TZS 2100 / $
 
sjawaipata ilo tatizo kwa kweli, nimeconvince clients wangu wote kuja WU na ku settle payment, wengi waelewa hasa kama umemfanyia kazi vizuri
Mkuu unatumia site gani?nilijiunga upwork na freelancer nikaona option 3 tu ya kwanza paypal,ya pili payoneer,ya tatu wire transfer.na wire transfer wameandika wanakata $30 per each transaction! Sasa hapo kama ni kikazi cha dola 8 mpaka zijae dola 100 si mtihani!? Nikajaribu kuregister payoneer napo kwenye address wakanizingua wanataka post box mara namba ya nyumba complications kibao nkaforce hatimae wakaniblock!
Naomba ushauri wako mkuu nifanyeje?
 
sjawaipata ilo tatizo kwa kweli, nimeconvince clients wangu wote kuja WU na ku settle payment, wengi waelewa hasa kama umemfanyia kazi vizuri
Mkuu sasa tupo katika 2020. Na hasa kama soko lako unalenga europe na usa maanake paypal inakuwa muhimu kwasababu inafanya vzr katika development coz ninachozungumzia ni buy it now yaani mtu ananunua hapo anapata anachokitaka hata km ww haupo online. Paypal ni rahisi kwasababu ni autopilot payments kwa system nyingi na web apps
 
Mkuu unatumia site gani?nilijiunga upwork na freelancer nikaona option 3 tu ya kwanza paypal,ya pili payoneer,ya tatu wire transfer.na wire transfer wameandika wanakata $30 per each transaction! Sasa hapo kama ni kikazi cha dola 8 mpaka zijae dola 100 si mtihani!? Nikajaribu kuregister payoneer napo kwenye address wakanizingua wanataka post box mara namba ya nyumba complications kibao nkaforce hatimae wakaniblock!
Naomba ushauri wako mkuu nifanyeje?
sina experience na Payoneer au nyinginezo, zaid ya Skrill( kwa upande wa freelancer)
 
Kenya wao wameruhusu kwasababu wanajua hii ni miaka ya kurahisisha na sio kurudisha nyuma?
 
Back
Top Bottom