When Mwendo kasi meets mwendaPole

When Mwendo kasi meets mwendaPole

Zingine ni hujuma. Haiwezekani hadi leo tusielewe tu. Ni kama tulivyoua mashirika ya usafirishaji ili tununue malori yetu
 
Wakati najifunza udereva, mwalimu wangu alinifundisha kuwa dereva mzuri Ni yule anayeweza kuepusha ajali hata kwa kufidia makosa ya watumiaji wengine wa barabara, kitu hiki hawanacho kabisa baadhi ya madereva wa mwendokasi, hasa maeneo yenye taa, yeye taa ya kijani ikiwaka hata Kama wanaokatiza wapo kwenye jam analileta Tu Kama picha inavyojieleza
 
Zingine ni hujuma. Haiwezekani hadi leo tusielewe tu. Ni kama tulivyoua mashirika ya usafirishaji ili tununue malori yetu
Anayehujumu nani sasa?, angalia picha basi la mkoa linamalizia kuvuka Na mwendokasi analeta gari yake mpaka zigusane!, amesbindwaje kufunga breki Ili kuepusha ajali?
 
77f64bd3c17abed1456333ffac162a36.jpg


Tahadhari ukikamatwa una endesha kwenye barabara za mabasi ya kwenda kasi, siku nzima una kaa nje ya kituo cha police umeshika hilo bango
Hii adhabu hapana
 
Waafrika bhana jamaa mweusi kama ugolo lkn anajita Mshirazi, kwa wasiojua Washirazi ni watu ktk Irani kama Rostam Aziz waliohamia Zanzibar zamani sana, sasa wewe niga na Uirani wapi na wapi?? Hivi huyo jamaa akienda irani akawaambia wa Irani kwamba yeye anatoka Irani watamuonaje?? hivi ni nani alituloga jamani??!
Sisi Waafrika kweli ni ngozi ya tako yaani ili mradi aukane Uafrika wake tu atasema chochote kile ndiyo ya akina maalimu Seif mtu mweusi kama ugolo lkn kutwa kujiita Mwarabu wakati akienda Saudi watamwita (Seif) abdi maana yake mtumwa!


77f64bd3c17abed1456333ffac162a36.jpg
Sioni point, je kama kachanganya wazazi?
 
Waafrika bhana jamaa mweusi kama ugolo lkn anajita Mshirazi, kwa wasiojua Washirazi ni watu ktk Irani kama Rostam Aziz waliohamia Zanzibar zamani sana, sasa wewe niga na Uirani wapi na wapi?? Hivi huyo jamaa akienda irani akawaambia wa Irani kwamba yeye anatoka Irani watamuonaje?? hivi ni nani alituloga jamani??!
Sisi Waafrika kweli ni ngozi ya tako yaani ili mradi aukane Uafrika wake tu atasema chochote kile ndiyo ya akina maalimu Seif mtu mweusi kama ugolo lkn kutwa kujiita Mwarabu wakati akienda Saudi watamwita (Seif) abdi maana yake mtumwa!


77f64bd3c17abed1456333ffac162a36.jpg
Mkuu hahaha inakera mpaka inapitiliza......halafu choka mbaya
 
Haya mabasi yamekatiwa insurance ya aina gani? Kufikia mwisho wa mwaka barabara za mwendo kasi zitapangiwa matumizi mengine.
 
Sioni point, je kama kachanganya wazazi?


Wewe ukimuangalia huyo ni Muirani? Na wewe ndiyo wale wale mnaokana kwenu wakati Dunia nzima inawajua kama sisi ni watu weusi sasa sijui unakana ili iwe nini? Hata kama kachanganya wazazi ndiyo ajiite Muirani wkt amezaliwa na kukulia TZ? Huyo akienda Irani unafikiri watamkubali na kumuita Mshirazi?
 
Haya mabasi yamekatiwa insurance ya aina gani? Kufikia mwisho wa mwaka barabara za mwendo kasi zitapangiwa matumizi mengine.
Ninachokiona ni Mabasi yale ya Tata au Eicher kuingia barabarani ili ku replace hayo maboksi, japo hayo MA Eicher nayo Mmmmghhh
 
Kwani hizo taa za brt hazijawa synchronized na za kawaida? Ikiwaka kijan kwa brt kwa kawaida iwake nyekundu and vice versa??
 
Kwani hizo taa za brt hazijawa synchronized na za kawaida? Ikiwaka kijan kwa brt kwa kawaida iwake nyekundu and vice versa??
Mkuu anadhani madereva wetu wanaheshimu hizi alama za usalama Barabarani? Hapa ni vurugu tu
1464800343081.jpg
 
Back
Top Bottom