When Mwendo kasi meets mwendaPole

Determinantor

Platinum Member
Mar 17, 2008
58,888
94,624
Kama kawa Kama Dawa
1464789238828.jpg
 
Mwendo kasi ni kama treni. kamwe huwa haigongwi. Inagongwa tu.
Watumie ustaarabu mkuu zitaisha mapema sana kwa hizi ajali ambazo madereva wa mwendo kasi wanaweza kuziepuka.Treni tunajua breki zake ni za mbali lakini hiyo gari inaweza kusimama wakati wowote.
 
77f64bd3c17abed1456333ffac162a36.jpg


Tahadhari ukikamatwa una endesha kwenye barabara za mabasi ya kwenda kasi, siku nzima una kaa nje ya kituo cha police umeshika hilo bango
 
77f64bd3c17abed1456333ffac162a36.jpg


Tahadhari ukikamatwa una endesha kwenye barabara za mabasi ya kwenda kasi, siku nzima una kaa nje ya kituo cha police umeshika hilo bango
Hiyo sio adhabu huyo kapumzishwa, alitakiwa miezi mitatu segerea na viboko saba kuingia saba kutoka akawaonyeshe kijiweni
 
77f64bd3c17abed1456333ffac162a36.jpg


Tahadhari ukikamatwa una endesha kwenye barabara za mabasi ya kwenda kasi, siku nzima una kaa nje ya kituo cha police umeshika hilo bango


Waafrika bhana jamaa mweusi kama ugolo lkn anajita Mshirazi, kwa wasiojua Washirazi ni watu ktk Irani kama Rostam Aziz waliohamia Zanzibar zamani sana, sasa wewe niga na Uirani wapi na wapi?? Hivi huyo jamaa akienda irani akawaambia wa Irani kwamba yeye anatoka Irani watamuonaje?? hivi ni nani alituloga jamani??!
Sisi Waafrika kweli ni ngozi ya tako yaani ili mradi aukane Uafrika wake tu atasema chochote kile ndiyo ya akina maalimu Seif mtu mweusi kama ugolo lkn kutwa kujiita Mwarabu wakati akienda Saudi watamwita (Seif) abdi maana yake mtumwa!


77f64bd3c17abed1456333ffac162a36.jpg
 
Back
Top Bottom