When mom is alone with the kid/When dad is alone with the kid

When mom is alone with the kid/When dad is alone with the kid

Salamander

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
28,536
Reaction score
15,751

bc57ce784cee94e7f8f8da85f9481778
 
Hahahaaa, si kweli, wababa tunacare watoto zaidi ya wamama
 
Teh...! Mtoto akiwa na baba lazima ategemee shuruba kidogo, tunawafundisha kuwa wakakamavu na kujitegemea. Mama yeye anadekeza tu, hadi watoto wakubwa. I remember since I was a little kid, nikikaa na mzee kupiga story, mifano au hadithi anazosimulia utasikia; 1. Enzi zangu nikiwa jeshini ilikuwa hivi, au 2. Nilisoma shule asubuhi ni lazima tufagie umande njiani kwenda shule au 3. Ninyi watoto wangu ni kama makinda ya njiwa (nilikuwa nafuga njiwa by that tym), yakiwa madogo wazazi wao huyalisha kwa midomo lkn yakikua huyafukuza yakatafute chakula chao menyewe ... nk .Mzee alinijenga sana kwa ushauri wa kigumu na mama yeye ni kututia moyo. Wote ni wa muhimu sana. Mungu awabariki wazazi wote...!
 
Hahaha wababa mmetuonea sana.
Hiyo ya mwisho kulia ni hatari aisee..
 
Ha haaaaa, wa kwangu yeye anapenda arushwe juu. Akishushwa utamskia 'baba yenaaa ' ndo arushwe tena.

Wow anaongea maneno mengi? Wa kwangu anaongea mengi lakini hatufahamu mana kuchina si kichina
 
Hebu tutake radhi wababa wote uliotudhalilisha na thread yako hiyo.
 
Back
Top Bottom