Teh...! Mtoto akiwa na baba lazima ategemee shuruba kidogo, tunawafundisha kuwa wakakamavu na kujitegemea. Mama yeye anadekeza tu, hadi watoto wakubwa. I remember since I was a little kid, nikikaa na mzee kupiga story, mifano au hadithi anazosimulia utasikia; 1. Enzi zangu nikiwa jeshini ilikuwa hivi, au 2. Nilisoma shule asubuhi ni lazima tufagie umande njiani kwenda shule au 3. Ninyi watoto wangu ni kama makinda ya njiwa (nilikuwa nafuga njiwa by that tym), yakiwa madogo wazazi wao huyalisha kwa midomo lkn yakikua huyafukuza yakatafute chakula chao menyewe ... nk .Mzee alinijenga sana kwa ushauri wa kigumu na mama yeye ni kututia moyo. Wote ni wa muhimu sana. Mungu awabariki wazazi wote...!