Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
Huyu Mzee kanisikitisha sana.
Ndio kinachonisikitisha, Japo ndoa yao ilikuwa kwenye TV tu mpaka siku alipotangaza rasmi kutalikiana, lakini yeye na Kris walikuwa hawalali chumba kimoja.Amekusikitisha wakati mwenzako anataka kutafunwa km kitumbua!
Ndio kinachonisikitisha, Japo ndoa yao ilikuwa kwenye TV tu mpaka siku alipotangaza rasmi kutalikiana, lakini yeye na Kris walikuwa hawalali chumba kimoja.
Mwanaume yupo wap hapo?
Umetishaa mbayaYaan mi bado nacheka aiseeee wanajiwezaaa