VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Naomba mwenye jibu anijuze... Ni vipi tumefika hapa tulipo sasa.
Rushwa sasa imekuwa kama kitu cha kawaida, wafanyakazi serikalini hawakupi huduma eti mpaka uwape takrima.... Wamegeuza shughuli za umma miradi yao. Hivi hawa Takukuru wapo?
Suala la pili mtu unapopata kazi yenye wadhifa watu wanategemea baada ya mwaka uwe umeiba na kutajirika.... Usipoiba wanakuona mjinga... Utasikia watu wanasema aahh Jamaa mjanja sana yupo kazini miaka miwili tu sasa ana nyumba tatu. Je watu hawa hawajui kwamba huyu mtu ni mwizi au wizi ndio sifa siku hizi.
Rushwa sasa imekuwa kama kitu cha kawaida, wafanyakazi serikalini hawakupi huduma eti mpaka uwape takrima.... Wamegeuza shughuli za umma miradi yao. Hivi hawa Takukuru wapo?
Suala la pili mtu unapopata kazi yenye wadhifa watu wanategemea baada ya mwaka uwe umeiba na kutajirika.... Usipoiba wanakuona mjinga... Utasikia watu wanasema aahh Jamaa mjanja sana yupo kazini miaka miwili tu sasa ana nyumba tatu. Je watu hawa hawajui kwamba huyu mtu ni mwizi au wizi ndio sifa siku hizi.