When a Woman Love

When a Woman Love

Hornet

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
26,844
Reaction score
52,251
To you Papa D,
I know you know how much I love you.

Wachana na maneno ya wanga,
Nisikize mimi,nipe vya uvunguni usinibanie,
Nilaze kwenye kifua chako Mashaallah, usiniache hewani.. Nipo tayari kwa ajili yako..

Nakupenda Leo mpaka kesho..
Hazard CFC

 
Corona, HIV, hepatitis, Ebola
Tujilinde
😁😁😁

images.jpg
 
Wanga wenzangu mko wapi? We've got a fresh fish to fry. Kujeni
😂 Tumefika wanga wenyewe tusioua kwa siraha ila maneno.. naanza namna hii

Kwako mweka mada
Mpende akutende,mguu uote tende
Tena kwetu wapambe,abadani tukuchambe!
Na vile ulivyo mzembe,utamuacha akutende
Sisi yetu pombe,wewe lako tende!

Wanga tutakuwangia,tusilipwe hata lupia
Tena tutakufanyia,asilani hutomsikia!

Jitweze mahabani,yakukute mbeleni
Mpe ya sirini,akuvuruge taabani!

Muite wa mahaba,akupe msiba
Akujaze kibaba,uanze kuiba!

Wanga wa wahanga,nimekulia yamini
Manyanga na vimbwanga,havikutoki mwilini!
Mipango nimepanga,yatakutoka mapunyeni
Mimi ndio mwanga,wa mahaba habaduni..😜
 
😂 Tumefika wanga wenyewe tusioua kwa siraha ila maneno.. naanza namna hii

Kwako mweka mada
Mpende akutende,mguu uote tende
Tena kwetu wapambe,abadani tukuchambe!
Na vile ulivyo mzembe,utamuacha akutende
Sisi yetu pombe,wewe lako tende!

Wanga tutakuwangia,tusilipwe hata lupia
Tena tutakufanyia,asilani hutomsikia!

Jitweze mahabani,yakukute mbeleni
Mpe ya sirini,akuvuruge taabani!

Muite wa mahaba,akupe msiba
Akujaze kibaba,uanze kuiba!

Wanga wa wahanga,nimekulia yamini
Manyanga na vimbwanga,havikutoki mwilini!
Mipango nimepanga,yatakutoka mapunyeni
Mimi ndio mwanga,wa mahaba habaduni..😜
Hahahaaaaaa nimecheka kifala Yani...

Kuna mtu anaeza kukuua kwa maneno
 
Hahahaaaaaa nimecheka kifala Yani...

Kuna mtu anaeza kukuua kwa maneno
Anaweza asikuue ila maneno yake yanaweza zalisha kirusi Kama corona kitakacho kuja hapo utajuta!!
 
Back
Top Bottom