Whatsapp Voice Calling working 100%

Whatsapp Voice Calling working 100%

Ukiitaka whatsapp chukuchuku poa, lakini ukitaka yenye nyanya, vitunguu,iliki,vitunguu saumu,mdalasini lazima uroot simu yakomkuu!!


Yenye hivyo unavyo visemea sio WhatsApp.
Kama ipo eka picha hapa.
 
ray57 piga simu nakusubiri !
 
Last edited by a moderator:
Je ungependa kutumia Whatsapp voice Calling
Sasa weza kudownload Whatsapp APK ya
WhatsApp for Android

NB:
KWa wale wote wanaosambaza massage zao whatsapp za kuwema YOu have been Invited sijui nini na nini ni FAKE!!
Ni spam.

Ngoja tusubiri update yake, naamini itakuwa stable zaidi.
 
Huyu jamaa mzush aisee,,,apige cm tuone,,

Account yangu yenyewe nimeisha idelete... Nilicreate mda ule ili nione miujiza..
Mana siko interested na Videos and images sharing apps ain't f--k with selfies.
 
Mimi nina whatsapp plus lakin sijaiona hiyo option

una whatsapp plus ipi? Whatsapp plus Reborn ndo ipo hiyo option! na hiyo option inatokea kwenye namba ambayo pia ina whatsapp plus Reborn na si kwamba kuna hiyo option kwenye setting mkuu
 
Tafuta whatsapp Plus Reborn v1.50 halafu u-enjoy kupige simu kwa aliyenayo pia!
 
Tafuta whatsapp Plus Reborn v1.50 halafu u-enjoy kupige simu kwa aliyenayo pia!
Sasa kuna v1.66, Ichukue hapa
Code:
 http://www51.zippyshare.com/v/JxIDyyPy/file.html
Ila
  • No VOIP call feature…
  • Webchat feature is not available also
 
Ukweli ni kwamba hiyo veraion mpya ina option ya voice call na version ni 2.11.561 lakini whatsapp wenyewe bado hawajaitangaza na hata playstore version hiyo bado haipo ila watu wameshaiiba huko ilipokuwa inafanyiwa majaribio. Binafsi hata mimi kwangu nili download kuputia link fulan jamaa aliiweka na nika install kisha jamaa akanipigia simu ikakubali. Na aliyeunganishwa tayari na yeye amnaweza kumuunga mtu mwingine ambaye tayari amesha download hiyo version mpya 2.11.561 na ku install.
Link hiyo yenye hiyo version mpya ya 2.11.561 hii chini
Whatsapp calling activation - https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=817473
Whatsapp calling activation
NB: download hapo juu kisha install kisha baada ya kuinstall muombe yeyote aliyeunganishwa akupigie na wewe utatakiwa uipokee hiyo simu, ukishaipokea hata msipoelewanaa sawa lakini utakuwa tayari umeshaunganishwa na wewe ktk whatsapp call. Kama umesha install hiyo version mpya unaweza kunitumia text hata mimi ktk whatsapp 0787414707 kuwa nikupigie kisha na wewe utapokea ili uungwe. Ni bureeee hakuna kutumia dakika ni mb tu zinazotumika. Na kama wote mpo ktk sehemu yenye mtandao mzuri basi usikivu ni mzuri sana.
Kumbuka siyo lazima uwe unatumia whatsapp plus, na pia siyo lazima uwe ume root simu yako, ukiaa jnatumia official whatsapp poa sana kwa sababu hiyo version ni ya kwao hao official whatsapp
 
Sasa kuna v1.66, Ichukue hapa
Code:
 http://www51.zippyshare.com/v/JxIDyyPy/file.html
Ila
  • No VOIP call feature…
  • Webchat feature is not available also
Ahsante Mwl.RCT ila kwa sasa kuna version ambayo ni ya mwisho v4.4 ndo ninayotumia
 
Ilinizingua nilipokua nikiupdate kwenda version 2. 12. 7 nikaidelete na kuidaunlodi upya. Someone able to call me please. Niambie kwa Private Message (PM) nikupe namba.
 
Back
Top Bottom