Daktari wa Manchester
JF-Expert Member
- Jun 1, 2020
- 350
- 401
Habari za mda huu.
nIngependa kushare nanyi baadhi ya tips unazoweza ukazitumia kuifanya Whatsapp Yako ionekane vizurii na yenye mvutoo
mbinu ya kwanza
1.Font style.ni namna maneno unayotype yanavyoonekana inaweza ikawa bold,italic,monospace za kadharika pia na strike through unachotakiwa kuifanya ni kuingia kwenye Whatsapp Yako then type neno >>long press Hilo neno >>hapo zitakuja option mbalimbali kama picha inavyoeleza hapo chini
2.dark mode.kamailivyo jf na pia Whatsapp ipo hivyoo hivyoo unaweza ukachange mode from light mode to dark mode fanya yafuatayo
settings>chats >themes ,kwenye theme utakutana na dark theme na light theme ,ila kwamimi Huwa napendelea dark theme
3.who can add you to a group.nahisi hii ndio option pendwa mana kuwa wengine Huwa hatupendi kuwekwa kwenye magrup ambayo hatuyapendi kwa hiyo unachotakiwa kuifanya ni
settings>account>privacy>>groups Sasa hapo ndo utachagua that no contact from your WhatsApp number can add you in any group ila endapo Kuna mtu atataka kukuunga kwenye group link itatumwa automatically kwenye namba Yako ya Whatsapp
4.Nani kasoma text Yako kwenye group la Whatsapp
unachatikiwa hapa ni kuingia kwenye group Hilo then ukishatuma text unachotakiwa ni long press kwenye hiyo text then click kwenye vidot vitatu pale juu then kwenye info ndipo utajua nani kasoma na Nan text imekua delivered kwake๐
5.link your account number for Whatsapp to other social medias ...
Hii mbinu inatumiwa sana na wale wanaofanya biashara mbalimbali mitandao I kwa hiyo ukienda kwenye bio yake may be Twitter au instagram utakuta link ambayo itakudirect moja kwa moja kwenye Whatsapp yake
Unachotakiwa ni kufanya hv
settings the utaenda utascan qr code then share
6.Security
Hapa zipo njia mbili moja ni two factor authentication na fingerprint sensor
kweNye fingerprint sensor unachotakiwa ni
settings>account>privacy>fingerprint lock ๐
7.Pin icon.hapa kama una contact nyingi kwa wasapu na pia kama umechat na watu wengi unachotakiwa
long press ile contact Yako then unachagua pale juu mana Kuna option nyingi ila our targeted option ni pin ,extra pia unaweza uka archive pia kama hutak watu waone
8.Kutuma picha interm of document
Wngi husema ukituma picha kikawaida ni rahisi hiyo picha kuwa blury baada ya mda Fulani /quality kupungua ,unachotakiwa kufanya ni
INaENDeLea
Daktari wa Manchester
nIngependa kushare nanyi baadhi ya tips unazoweza ukazitumia kuifanya Whatsapp Yako ionekane vizurii na yenye mvutoo
mbinu ya kwanza
1.Font style.ni namna maneno unayotype yanavyoonekana inaweza ikawa bold,italic,monospace za kadharika pia na strike through unachotakiwa kuifanya ni kuingia kwenye Whatsapp Yako then type neno >>long press Hilo neno >>hapo zitakuja option mbalimbali kama picha inavyoeleza hapo chini
2.dark mode.kamailivyo jf na pia Whatsapp ipo hivyoo hivyoo unaweza ukachange mode from light mode to dark mode fanya yafuatayo
settings>chats >themes ,kwenye theme utakutana na dark theme na light theme ,ila kwamimi Huwa napendelea dark theme
3.who can add you to a group.nahisi hii ndio option pendwa mana kuwa wengine Huwa hatupendi kuwekwa kwenye magrup ambayo hatuyapendi kwa hiyo unachotakiwa kuifanya ni
settings>account>privacy>>groups Sasa hapo ndo utachagua that no contact from your WhatsApp number can add you in any group ila endapo Kuna mtu atataka kukuunga kwenye group link itatumwa automatically kwenye namba Yako ya Whatsapp
4.Nani kasoma text Yako kwenye group la Whatsapp
unachatikiwa hapa ni kuingia kwenye group Hilo then ukishatuma text unachotakiwa ni long press kwenye hiyo text then click kwenye vidot vitatu pale juu then kwenye info ndipo utajua nani kasoma na Nan text imekua delivered kwake๐
5.link your account number for Whatsapp to other social medias ...
Hii mbinu inatumiwa sana na wale wanaofanya biashara mbalimbali mitandao I kwa hiyo ukienda kwenye bio yake may be Twitter au instagram utakuta link ambayo itakudirect moja kwa moja kwenye Whatsapp yake
Unachotakiwa ni kufanya hv
settings the utaenda utascan qr code then share
6.Security
Hapa zipo njia mbili moja ni two factor authentication na fingerprint sensor
kweNye fingerprint sensor unachotakiwa ni
settings>account>privacy>fingerprint lock ๐
7.Pin icon.hapa kama una contact nyingi kwa wasapu na pia kama umechat na watu wengi unachotakiwa
long press ile contact Yako then unachagua pale juu mana Kuna option nyingi ila our targeted option ni pin ,extra pia unaweza uka archive pia kama hutak watu waone
8.Kutuma picha interm of document
Wngi husema ukituma picha kikawaida ni rahisi hiyo picha kuwa blury baada ya mda Fulani /quality kupungua ,unachotakiwa kufanya ni
INaENDeLea
Daktari wa Manchester