manizzle
JF-Expert Member
- Apr 29, 2015
- 3,421
- 4,317
Pia ina matangazo jinsi hadi keroWhatsap GB ina options nyingi hadi ww mwenyewe utafurahi
Pia ina matangazo jinsi hadi keroWhatsap GB ina options nyingi hadi ww mwenyewe utafurahi
GB WhatsApp imekaa kikekike kama Instagram na snap chat, wanaume tunatumia official, iyo GB WhatsApp mapambo kibao personalization tumewaachia wadada wafanye make up hadi conversation
Mimi natumia hii official version ambayo ipo playstore..
Hii GB whatsapp hapana iisèeh maana unakuta mtu anaficha last seen kama vile kuna kitu special kuhusu last seen au mtu anaficha blue tick kama vile kuna tuzo zinagawiwa wakati wakina chenge wako busy kuficha pesa zetu walizoiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Level uliyofika kufikiria ndio nipo mimi. Ukishakuwa mwanaume kuwa mwanaume, GB Whatsapp iko kimbea mbea sana. Hata mtu akiiona kwa simu yako anapoteza uaminifu kidogo. Yote ya nini hayo.
Sent using BlackBerry Z10 Jamii Forums mobile app
basi katika hili wanaume wa dar watakuwa advanced, GB WhatsApp mambo za kitoto hizo na chicks, urembo urembo mwingi, mtu unakuta anaficha mpaka green tick isitokee sasa ili iweje kama sio utoto, kifupi haina feature yoyote ya maana.
Fikra zako ndio umasikini wakoHayo ni maamuzi yenu tu mkuu, swala la kupamba ni mtu hadi uamue kuifanyia personalization, ninacho pendea gb ni anti revoke tu. Mengine yote sijayagusa
Kingine simu inaruhusu namba moja nami ninazo namba mbili hivyo hii inanipa uwanja wa kuwa na whatsapp mbili ktk simu moja kuliko kutembea na mzigo wa simu mbili.
Hizo mbili ndio primary target zangu za kuwa na gb
Aina ya app fulani unayotumia haitoweza kamwe kubadili jinsia yako wala wasifu wako.. Hizo ni propaganda zenu tu.
Cha msingi ni kujua wewe unahitaji nini, kwisha maelezo.
Hilo ndio tatizo lililonifanya nikaachana nayo
Hata hizi za kawaida ina hizo options mkuu.Mimi natumia hii official version ambayo ipo playstore..
Hii GB whatsapp hapana iisèeh maana unakuta mtu anaficha last seen kama vile kuna kitu special kuhusu last seen au mtu anaficha blue tick kama vile kuna tuzo zinagawiwa wakati wakina chenge wako busy kuficha pesa zetu walizoiba
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe kama mimiMwe! Mi ndio najua leo kwamba kuna aina nyingi za whatsapp!
Level uliyofika kufikiria ndio nipo mimi. Ukishakuwa mwanaume kuwa mwanaume, GB Whatsapp iko kimbea mbea sana. Hata mtu akiiona kwa simu yako anapoteza uaminifu kidogo. Yote ya nini hayo.
Sent using BlackBerry Z10 Jamii Forums mobile app
Note; iyo status ya do Saba unayo weka my mwenye WhatsApp ya kawaida awezi kuiona yote izo dk sabanianze kwa kukuambia umekosea sana...tatizo umeangalia option ambazo zimekaa kimbea na umeacha kujadli option za whatsapp GB ambazo zinaifanya iwe bora sana...kwanza ina uwezo wa kutuma video zenye size kubwa kuliko whatsapp ya kawaida...pili unauwezo wa kuweka status video hadi yenye dakika 7 wakati whatsapp ya kawaida ni sekunde 30 tu...pia ina uwezo wa kudownload any status hakuna cha kumwambia mtu nitumie hiyo...hayo mambo ya kimbea mbea inategemea na wewe unavyoitumia..wengine tunaitumia kutangaza biashara zetu...dakika saba naweka tangazo safi kabisa linakamilika
Hapa mkuu umenena kabisaaanianze kwa kukuambia umekosea sana...tatizo umeangalia option ambazo zimekaa kimbea na umeacha kujadli option za whatsapp GB ambazo zinaifanya iwe bora sana...kwanza ina uwezo wa kutuma video zenye size kubwa kuliko whatsapp ya kawaida...pili unauwezo wa kuweka status video hadi yenye dakika 7 wakati whatsapp ya kawaida ni sekunde 30 tu...pia ina uwezo wa kudownload any status hakuna cha kumwambia mtu nitumie hiyo...hayo mambo ya kimbea mbea inategemea na wewe unavyoitumia..wengine tunaitumia kutangaza biashara zetu...dakika saba naweka tangazo safi kabisa linakamilika