Mkuu Fareal naomba unisaidie haya:
1.Nikizungumza na mtu mazungumzo yanachelewa kwenda au kunifikia kama inavyokuwa kwenye miito ya mbali yaani miito ya nje ya nchi.
2.Ninachokizungumza kinanirudia/ nakisikia tena kabla hakijamfikia ninayezungumza naye.
NB: Natumia techno m3
Ahsante.
Tafakari...