Habari wakuu, nimeanza kutumia whatsfapp siku mbili au tatu hivi zimepita, jana nilishangaa bundle langu la wiki ilimekata ghafla nikahisi labda nilizisha matumizi.
Jana usiku nikaunga tena bundle la 1gb la wiki, sikutumia simu nikalala, asubuhi nacheck salio nakuta na salio la 600mb nikashtuka sana kuwa ni kitugani kina tafuna mb zangu.
Nikaanza kutrace apps zinazokula mb nikashangaa kuona whatsfapp imekula zaid ya 660mb kwa siku tatu tu, kabl sijakaa vizuri naona inazidi kula mb zangu hadi 724mb kwa md mchache tu.
Wakati instagram ipo zaidi ya miezi 3 imekula 800 na kitu tu.
Kwenda kucheck kwa network usage imetuma na kupokea files za 19mb tu.
Tukae mbali na hizi apps ambazo siyo official wakuu
Jana usiku nikaunga tena bundle la 1gb la wiki, sikutumia simu nikalala, asubuhi nacheck salio nakuta na salio la 600mb nikashtuka sana kuwa ni kitugani kina tafuna mb zangu.
Nikaanza kutrace apps zinazokula mb nikashangaa kuona whatsfapp imekula zaid ya 660mb kwa siku tatu tu, kabl sijakaa vizuri naona inazidi kula mb zangu hadi 724mb kwa md mchache tu.
Wakati instagram ipo zaidi ya miezi 3 imekula 800 na kitu tu.
Kwenda kucheck kwa network usage imetuma na kupokea files za 19mb tu.
Tukae mbali na hizi apps ambazo siyo official wakuu