Sasa km hakupendeka nini kinamuuma na kwanini walikuwa bado wanaonekana km wapenzi?Alipendwa hakupendeka, wifi akamove on maana yake akakubaliana na hali ya jamaa kutopendeka nzuri zaidi akamsahau na kuendelea na maisha...
Sasa ndo jamaa anajileta upya, mwanaume mashauzi wa kazi gani?
Swali la nyongeza 1 tu.. Ole wako uulize mawili.
Erick ntakuzaba vibao, kaby alimzimikia jamaa akamwambia ukweli, jamaa akajishaua kaby akaumia, akasikitika, akamwomba Mungu amsahaulishe.. Akafanikiwa kumsahau sasa jamaa ndio linakuja tena kuibuka na sera zake ambazo kaby alishazisahau!Sasa km hakupendeka nini kinamuuma na kwanini walikuwa bado wanaonekana km wapenzi?
Lol
Hii danganya toto....
Kaby sema ukweli
What you did last night you know where,has put you in awkward position with me
Angalia mwenyewe anavosema hapo juu....Erick ntakuzaba vibao, kaby alimzimikia jamaa akamwambia ukweli, jamaa akajishaua kaby akaumia, akasikitika, akamwomba Mungu amsahaulishe.. Akafanikiwa kumsahau sasa jamaa ndio linakuja tena kuibuka na sera zake ambazo kaby alishazisahau!
Umeelewa kijana?
Hahahaaaa@ Erickb52 akija kaby utafute pa kujichimbia.. Mie hata simo.
dah..kabakabana pole sana...would have been much better kama mng'emalizana offline km mlivyoanza offline rather than hapa online, kwani JF ili wakushauri watataka uwaelezee kisa chote, which i believe hautakuwa tayari kufanya hivyo. Naamini ni hasira zimekusuma mpaka ukaweza kurusha uzi huu, ila haitakusaidia wewe au yeye rather than publicizing your personal issues.
Hehehe, bora umkumbushe..Usisahau hapa ni Chit-Chat.......
Lol wifi, mjusi??? Atajuta kufufua mapenzi yalokufa zamani..
Duh! kwa hiyo mnataka muwe kama wanyama?
Kumbe kuna wakati ulimkubalia coz huwezi kumuacha ambaye huko nae....
Hahahaaaa nimeshahama huko nimehamia ESSO
Sasa km hakupendeka nini kinamuuma na kwanini walikuwa bado wanaonekana km wapenzi?
Lol
Hii danganya toto....
Kaby sema ukweli
Your name ends it L and last name ends with O.So get it,
Hahahaha! Chura...hivi frog kwa kiswahili anaitwaje?
Erick ntakuzaba vibao, kaby alimzimikia jamaa akamwambia ukweli, jamaa akajishaua kaby akaumia, akasikitika, akamwomba Mungu amsahaulishe.. Akafanikiwa kumsahau sasa jamaa ndio linakuja tena kuibuka na sera zake ambazo kaby alishazisahau!
Umeelewa kijana?
Angalia mwenyewe anavosema hapo juu....
Huyu kafumania tu hataki kusema....
Kajipeleka kwa mume wa mtu bila taarifa yakamkuta lol
Pole sana Kaby......
Ndo utulie sana
@ Erickb52 akija kaby utafute pa kujichimbia.. Mie hata simo.
dah..kabakabana pole sana...would have been much better kama mng'emalizana offline km mlivyoanza offline rather than hapa online, kwani JF ili wakushauri watataka uwaelezee kisa chote, which i believe hautakuwa tayari kufanya hivyo. Naamini ni hasira zimekusuma mpaka ukaweza kurusha uzi huu, ila haitakusaidia wewe au yeye rather than publicizing your personal issues.
Hahahaha! Chura...