what's wrong with this picture part 5

Game Theory

Platinum Member
Sep 5, 2006
8,545
835
IMG_0472.jpg



Clue...hii ni Dare salaam convention Centre inayojengwa kwa msaada wa wa China.

Inajengwa jirani na chuo cha IFM


Mods/admin...nashauri kabla hamjahamisha hizi picha wapeni watu walau 24 hrs wapate kutoa maoni yao.
 
ipo ndani ya a protected area? in a sense kuwa kwingine ni kijani na hakuna majengo yanayoizunguka!
 
What happened to Dar Beach/water Front project?! What happened to reserved areas? Yaani natural architecture ya mji inazidi kuharibika tu... hamna hata sehemu za kupumzikia zinazo achwa. Hivi viwanja vya golf vimebakia...?!
 
I wonder what is in return for China to "assist" in building the complex?!
Was NSSF in plan of building the same kinda thing but got blocked along the way, or?!
 
Hili kama sikosei ni jengo la Nyerere Foundation ambalo linajengwa jirani na IFM na ofisi za bunge. Itakuwa kama kitega uchumi cha Nyerere Foundation pia makao makuu yake. Nategemea watakuwa wameweka sehemu za magari kama 300 kupaki
 
Jamani naomba wataalam mnisaidie,

Kwa nini serikali inaendelea kujenga majumba makubwa kama haya katikati ya mji? ukichukulia na miundo mbinu yetu iliyo mibovu? I cant comment, maana kuna wataalamu humu wenye ujuzi zaidi yangu. Ila kwa nini mfano wasingepeleka huu ukumbi sehemu ya nje ya mji..ambako..ingepanua mji na kupunguza karaha ya usafiri kila wanene wakiingia mjini kwenye mikutano?
 
Back
Top Bottom