Whats wrong with Pinda?

Pinda anamfaa JK
kwa ajili raisi hutakiwi kuwa na mtu ambaye atang'ara kuliko yeye
pinda na JK wakiwa sehemu JK ndio anapata attention
na pinda anakubali kama JK ni bosi wake, na hata pinda akiiba ataiba kidogo
sio sawa sawa na yule sijui mmasai/mmeru...
ambaye anajiona yeye ni bora kuliko JK na yeye ni bora kuliko mtu yeyote yule ccm..
yule mmasai pamoja na kampeni zake za kichini hata kaa auone mwanga wa kisiasa TZ tena. he is dead and buried.
atashinda tuu hicho kiti cha ubunge, na kuna mtu anaandaliwa kwa ajili ya kuchukia jimbo lake 2015.

Unajidanganya ndugu......kwe,,kwee
 
Hivi kwa akili zenu mnafikiri JK angemweka kiongozi wa kumfunika yeye? lazima achague watu kama Pinda, Kipanya alivyosema BB mlimlalamikia sana!
 
Unajidanganya ndugu......kwe,,kwee

Paka Shume kama una ndoto kuwa Lowassa atakujakuwa kiongozi wa juu wa nchi hii tena ujue you have been hallucinating!! Ukweli ni kwamba laana ya mwalimu itamuandama mpaka atakapowekwa kaburini na akiforce kama alivyoforce uwaziri mkuu , mabaya zaidi yatamfika. Angeshauriwa aachane na siasa akatumbue fedha alizotuibia basi!!
 
Ni mbaya sana pale mtu unapojiona kuwa upo sahihi.....halafu hata usiwe na chembe ya kufikiri sivyo
 
Huyu mheshimiwa amekuwa kama vile Lowassa kila kukicha yuko safari hivi saa ngapi anakaa ofisni na kufanya paperwork?

Halafu I am still tryying to figure him out..lakini sijui but something is not right with him and how he works

kama huamini tembelea website ya ofisi yake...hakuna kitu zaidi ya ma speech kibao na hakuna policy paper yoyote mle je hii ni reflection ya Pinda au vipi?

Halafu mbaa zaidi huyu anaongoza serikali inayotia fora kwa ku flip flop...mara misamaha ya mashira ya kidini imefutwa, next minute anasema imerudishwa, one minute sijui mahakama ya kadhi next minute anakuwa bubu


GT nilidhani wewe mtu wa leo kumbe unafanana na Kingunge!! Rais na Waziri mkuu wanapokuwa safarini hasa mikoani haiwazuii kufanya maamuzi ya ofisi zao; kwani kila siku wanapata briefing ya mambo yanavyoendelea na wao hutoa maelekezo/maamuzi. Juu ya hayo, wanapokuwa mikoani ofisi zote za wakuu wa wilaya na mikoa hugeuka kuwa zao; ndio maana mara nyingi wakuu wa wilaya/mikoa inawabidi hata kuhama nyumba zao kuwapisha wakulu wao!!
kama serikali sijui vipi nina wasi wasi hata yule mwenye degree feki (waziri wa Fedha..bwana MKULLO) hamheshimu kabisa huyu Pinda..haiwezekani waziri akatoa tamko zito bila kutaka ushauri ofisi ya Pinda

something is not right about the man....Lowassa alikuwa na mapungufu yake lakini leo tunaona shule kila kata japo zngine hazina walimu lakini shule zipo.Pinda ukitaka nikuone uko serious na hii issue ako ya Kilimo, then waambie hao jamaa waweke strategy za kilimo cha kisasa then i might think you are trying to be serious

ekfiuc.jpg

Gt mimi siku zote niliamini kuwa wewe ni wa leo kumbe sivyo uko sawa na Kingunge! Waziri mkuu na Rais wanapokuwa safarini hasa mikoani haiwazuii kufanya kazi za ofisini kwao kwani kila siku wanapata briefing za mambo yanavyoendelea na wao huto maelekezo au maamuzi huko huko waliko. Kumbuka wanapokuwa mikoani, ofisi zote za wakuu wa wilaya na mikoa zinakuwa zao na mara nyingi hawa viongozi wa mikoani inawabidi hata kuhama nyumba wanamoishi kuwapisha wakulu wao!!
 
Juzi nilikuwa naangalia documentary ya wakulima wa mpunga China. Wanalima mashamba madogo, tena milimani. Na zana wanazotumia ni sawa na za kwetu. Lakini output yao ni kubwa sana kuliko babu yangu mwenye heka 10.

Hivyo Pinda anaweza kuwa mchapa kazi mkubwa. Lakini anaweza kuwa kama babu yangu anayerudisha gunia kumi katika katika kazi za heka 10.

Lakini katika rutuba ya nchi yetu, Pinda anaweza kurudisha gunia 10 katika nusu heka.
 
Gt mimi siku zote niliamini kuwa wewe ni wa leo kumbe sivyo uko sawa na Kingunge! Waziri mkuu na Rais wanapokuwa safarini hasa mikoani haiwazuii kufanya kazi za ofisini kwao kwani kila siku wanapata briefing za mambo yanavyoendelea na wao huto maelekezo au maamuzi huko huko waliko. Kumbuka wanapokuwa mikoani, ofisi zote za wakuu wa wilaya na mikoa zinakuwa zao na mara nyingi hawa viongozi wa mikoani inawabidi hata kuhama nyumba wanamoishi kuwapisha wakulu wao!!

kufanya kazi ni pamoja na kutupatia sisi wananch strategy zao za kukuza huo uchumi

sasa nenda kwenye website ya waziri mkuu unionyeshe policy paper hata moja kisha urudi tujadiliane

hivi wanafikiri akina salva wajinga kugoma kuweka website?
 
Paka Shume kama una ndoto kuwa Lowassa atakujakuwa kiongozi wa juu wa nchi hii tena ujue you have been hallucinating!! Ukweli ni kwamba laana ya mwalimu itamuandama mpaka atakapowekwa kaburini na akiforce kama alivyoforce uwaziri mkuu , mabaya zaidi yatamfika. Angeshauriwa aachane na siasa akatumbue fedha alizotuibia basi!!

Nyerere alishakufa na hajamuachia mtu yeyote laana, if something is wrong in society, we all need to fight up against!
 
Back
Top Bottom