MUngu mkubwa kawakumbuka wanawe wanaonyanyasika na dowans.tusubiri huo wa NSSF na huo wa upepo singida.
<br />Ukianza mgao twaambiana, ukiisha kimya .. no word. ha ha ha ha Ndo mambo gani hayo yakhe kikwete na fisadi mwenzako Ngeleja?
<br />Ukianza mgao twaambiana, ukiisha kimya .. no word. ha ha ha ha Ndo mambo gani hayo yakhe kikwete na fisadi mwenzako Ngeleja?
Ndugu zangu
Kuna tatizo wenzangu sijui mmeliona?
Tangu jumamosi umeme upo, kuna mtu anajua kuna tatizo gani atuarifu tujue.
Ndugu zangu
Kuna tatizo wenzangu sijui mmeliona?
Tangu jumamosi umeme upo, kuna mtu anajua kuna tatizo gani atuarifu tujue.