Jamani tulishasema kuwa ifikapo Machi mwishoni hakuna mgao TZ sababu mabwawa yatakuwa yamejaa.
Issue ni ufisadi wa temp generators na mitambo ya Dowans ndio inasababisha serikali na POLITICIANS kukaa kama wana vichaa.
Lakini sasa mambo yote safi, tender za emergency generators zimeshatoka na EL & RA wako busy kupata through 3rd parties.
Hakuna need ya TEMP Generators, TEMP SOLUTION ni serikali kununua FUEL YA IPTL for the next 12 months na KUORDER 200 MW GAS GENERATORS GE/WARTISLA ili ziwe nchini na kufungwa by DEC 2011. Ukiongeza na 160MW ambazo ziko njiani kuwa ready by late 2011, sulaa la mgao kwa 2012 halitakuwepo.
Lakini mabingwa wa ufisadi hawatafanya hivyo, watabuni solutions ambazo zinaiweka TANESCO WEAK FINANCIALLY SIKU ZOTE, kwa kutunga makampuni ili yauze umeme kwa Tanesco, na TANESCO ipangiwe bei chini ya cost na EWURA ili Tanesco wawe hawana jinsi.
Jiulize kwenye masuala ya umeme TZ, SONGAS Wako Profitable, IPTL wako Profitable, Artumas wako Profitable, Dowans wako Profitable, ila ni Tanesco tu ndio kila siku ina DEFICIT.
Halafu vichaa wengine wanataka NSSF iown KIWIRA ili Of COurse iwe Profitable, lakini ukitoa mawazo TANESCO waown na kuoperate KIWIRA utaona wanasiasa kama wanapandwa na kichaa wakikataa Kabisa kabisa. Wao wanataka Tanesco ifanye kazi ngumu ya Distribution lakini angle yenye profit ya Generation hiyo ni kwa Makampuni uchwara. Ujiulizi mbona serikali imetunga sheria makampuni independent waweze kugenerate power, lakini hakuna sheria ya Independent Distributors?? Jibu ni hakuna profit kabisa hapo.
God Bless Tanzania.