Donnah
Member
- Oct 31, 2010
- 37
- 19
Pole Daughter, I know how you feel naungana na wezangu waliotangulia kukupa ushauri. yaani mpotezee haraka mno. Najaribu kukutumia kitabu nimeattach hapa sijui kama utaweza kukifungua. Just read kuhusu vijimambo vya mwanaume ambaye hakupigii simu unatakiwa kufanyaje. Cheers