ki ukweli clouds kuna watangazaji wazuri wenye vipaji kama b12 millard ayo na adamu mchonvu sote tunakubali ila tatizo liko kwa bosi wao ruge huyu mtu tatizo hata ukikaa na wafanyakazi wanamlalamikia sana chinichini kusaga anamuamini na kamuachia mikoba yote yaani haongei kitu juu ya huyu mtu nae anatumia nafasi yake kukandamiza wenzake