tulivyokuwa mwanzo sio kwamba alikua romantic saaaaan lakin siku hizi ndo kabsaaaaaaa...hata hug na kisses zile za chumbani tu zile zimekua shida....smtimz i real nid himmmmmmmmm utaskia kesho mi nimechoka sa lini hajachokaaaa....mpaka nianze mimi......mi namfanyia hiv na vile lakini yeye yupo tuu jamani yani naona mfumo dume mis hata sielewi.....yani sifiki kule nilikokuwa nafika zamani.....juzi karudi kalewa....dah amejitahidi kuanzia usiku ule hadi asubuhi tatu....although sikufika nilipokuwa nakwenda i was satsified kiasi chake mwanzo hakuwa hivyo.....bila 5 6 2likuwa hatujaamka yani mpak aasubuhi sa tatizo nini....
mwanamama mi na kushauri uendelee nae huyo huyo,tulivyokuwa mwanzo sio kwamba alikua romantic saaaaan lakin siku hizi ndo kabsaaaaaaa...hata hug na kisses zile za chumbani tu zile zimekua shida....smtimz i real nid himmmmmmmmm utaskia kesho mi nimechoka sa lini hajachokaaaa....mpaka nianze mimi......mi namfanyia hiv na vile lakini yeye yupo tuu jamani yani naona mfumo dume mis hata sielewi.....yani sifiki kule nilikokuwa nafika zamani.....juzi karudi kalewa....dah amejitahidi kuanzia usiku ule hadi asubuhi tatu....although sikufika nilipokuwa nakwenda i was satsified kiasi chake mwanzo hakuwa hivyo.....bila 5 6 2likuwa hatujaamka yani mpak aasubuhi sa tatizo nini....
Kwa kuwa Mwana ndo mwenye mwenzi asiyeweza kuelezea hisia zake au?.......Tafadhali nitake radhiHapa ndipo tunapomhitaji mwanajamiiwani!
Kwa kuwa Mwana ndo mwenye mwenzi asiyeweza kuelezea hisia zake au?.......Tafadhali nitake radhi
i nid my husband to be romantic what should i do,nimejaribu kwa vitendo naona mwenzangu ka haelewi...hata tunapokuwa faragha inaonekana ka mwenzangu anaona aibu...kusema i lov its like mwaka mzima sijasikia...hata ukimuuliza unanipenda utasikia eeh...ndo mana niko na wewe mi sipendi hivyo nifanyeje hamna jarida nikampe asome...yani sielewi sio siri inaninyima raha...although smtimes anaonyesha anajali lkn sio km vile mtu anvyotakiwa afany kwa mpenz wake.....plzzzzz na mi nampenda sana my husband...
..............Love was meant for some and others escorting them.....vkeisy 2006 kwani tangu uboyfriend na ugirlfriend wenu alikuwa hivi?......If yes how did you cope? Kama uliweza kumstahimili hadi umeoana naye basi be greatful hajabadilika .................. otherwise useme kama ilikuwa ni ndoa ya kupangiwa (Hamkukutana before)
..............Love was meant for some and others escorting them.....
Shishi..................aksante.Love is not in finding a perfect husband/person....but in learning to see an imperfect husband/person in a perfect way!!!
Usindwe na ulegee ndo ushauri gani huo?tafuta player nje ya ulingo,what you miss from your husband the player will provide
yani sielewi sio siri inaninyima raha...although smtimes anaonyesha anajali lkn sio km vile mtu anvyotakiwa afany kwa mpenz wake.....plzzzzz na mi nampenda sana my husband...
tok to him mwambie unataka nn akufanye/akufanyie pia kama unaweza mweleze hata stlye,type za mamboz unayotaka akupe akufanyie,kumbuka he is all urs no mata akiwa nje au ndani usiposema shaulilo atafunzwa na kufundisha kirudi kwako atakuona bado uko chekechea while ulijua hukutaka kumfundisha au kumuelewesha!tok tok tok action speak beta zan vojarida etc