Mkuu golini alikuwepo Tanzania One Mohammed Mwameja, Mackenzi Ramadhani hakuwepo.
Vv
Makenzi alikuwa Kipa nambari mbili na kipa namba tatu alikuwa Offen Martin alitokea Ushirika Moshi
Mkuu golini alikuwepo Tanzania One Mohammed Mwameja, Mackenzi Ramadhani hakuwepo.
Vv
Bolizozo happenedIlikuwa ni game ya fainali ya kombe la Caf mwaka 93 kati ya Simba Sport Club Vs Stella Abidjan ya Ivory Coast.. Tetesi zilizoenea mitaa ya jiji la Dar WS Salaam na viunga vyake ni kwamba Simba Sc waliuza hiyo game..Wadau wa Soka la Bongo ..What do u think ? Ni kweli Simba waliuza hiyo game ? Kama waliuza nani walihusika na mchezo huo mchafu ?
Seoku Bamba ni mchezaji wa Asec Memosa sio Stela Abijan mkuuAcha uongo Boli Zozo alifunga goli la pili. Goli la kwanza lilifungwa na Ceku Bambe
Timu ya ALGERIA inaitwa Al Arachkuna vitu umepotosha Alfred kategile, Damiani Kimti, Alphonce Modest, Makenzi ramadhani na Duwa Said hawakuwemo kwenye hicho kikosi
Kuna Timu ya Algeria ambayo Simba ilicheza nayo ikaifunga
Kuna wachezaji kama Michael paul, George Lucas, Ramadhami Leny kwa kuwataja wachache
KOCHA MSAIDIZI NI ETTIEN ESHETE MU ETHIOPIA SIYO AFFIFTulianza Kwa kuwatoa Ferroviario ya Msumbiji Kwa advantage ya Goli la ugenini hapa tulitoka bila nila kwao tukatoka Moja Moja
Tukaenda Robo Fainali tukamchapa nje ndani Timu ya Manzini ya kule Swatziland
Tukaingia nusu Fainali tukacheza Na Club bingwa ya Angola ya wakati huo inaitwa Atletiko Aviacao hapa Taifa Tukampiga Tatu Kwa Moja then kwao tukapigwa Moja bila wakawa wametoka
Tunaingiza Fainali Sasa hapo, Ikawa Simba vs Stella Andijaa
Mechi ya kwanza tukaanza kule Kwao Ivory Coast tukatoka nao suluhu ya Bila ya kufungana
Sasa Kombe Uwanjani ya Kombe la CAF Africa nzima ikafanyika Uwanja wa Taifa
Mgeni wa Heshma akawa Rais Ally Hassan Mwinyi akisindikizwa Na Waziri wake wa Michezo Prof Philemon Sarungi ( Mshabiki wa Simba damu)
Wakati huo Kocha wa Simba akiwa Abdallah King Kibaden Mputa Na Msaidizi wake akiwa Hassan Hafif
Tukapigwa Goli la kwanza Uwanja Ukawa kimyaaaaa Mara likaingia la pili Mchomo uliopigwa umbali wa mita 18 hapo ndipo Kelele za Mashabiki wa Yanga '...Uzalendo umetushinda...' Ndio zikaanza
Mpaka Mwisho bila ya kutegemea Mzee Mwinyi akashuka Jukwaaani Kwa huzuni usoni lakin akiwa Na furaha moyoni Kwa Kuwa Nae Ni Yanga Damu Kuliko Mzee Akili Mali
Baadhi ya Wachezaji ninaowakumbuka wa Simba Ni Mohamed Mwameja, Hussein Masha, George Magere Masatu, Alfred Kategile, Damian Kimti, Alfred Kategile, Alphonce modest, Makenzi Ramadhan, Dua Said, Edward Chumila n.k
Personally naamini Kwa Umri wangu niliosalia sitoishuhudia Simba bora ya kiwango ile
Mzee Mwinyi akakabidhi Kombe Kwa kina Bolizozo nao usiku ule ule wakaondoka Na Kombe kupumzika Nairobi
Nakumbuka Siku chache kabla ya Mechi, Uongozi Na Mashabiki wa Simba hawakuwa wakijadili Mikakati ya Ushindi wa Mechi hiyo bali walikuwa wakijadili Kombe litakaa wapi baada ya Mechi hiyo wengine walisema Ikulu, wengine BOT hakuna kujadili Mikakati ya Ushindi
simba hawakuwa na gifted players bali mwanzoni walikutana na timu mbovu kutoka msumbiji na angola kabla ya kukutana na kisiki kutoka ivory coast stella na bolizozo akawaua mchana kweupe. Kikosi hicho unachokiita cha gifted players muda mfupi baadae kiliipigwa goli 2 bila na yanga iliyokuwa na wachezaji wa kawaida akiwemo mchezaji chipukizi James Tungaraza aliyemtoboa mwameja tundu 2 hata akabatizwa jina la bolizozo wa tzHII GAME ILINIFANYA NIWE KAMA JPM ALIVOFANYA SIKU ILE JUMAMOSI....NINABAKI KUWA MNYAMA ILA SIYO MPENDA UNAZI KATIK UBOVU WA TIMU....
NDIO MAANA SIMBA WAKIKOSEA NINANYOOSHA MANENO TENA MAKALI NA KAMA FAIR GAME NINAIKUBALI KEJELI AMA USHINDI KWA FURAHA.
SIMBA 1993 FAINALI TULIKUWA NA GIFTED PLAYERS ILA SIYO PROFESSIONAL PLAYERS....WALIFIKIA PALE KWA SABABU WACHEZAJI WETU WALIKUWA NA VIPAJI NA MORALI YA MASHINDANO ...
FAINALI TULIKWAMA KWA SABABU MORALI ILISHUKA SANA KWA WACHEZAJI WETU...WALIINGIA UWANJANI WAKIWA DOWN KINYUME KABISA NA GAME YA KWANZA ABIDJAN
AIDHA AZIM DEWJI NA UONGOZI WALI DISTRACT MORALI YA WACHEZAJI AMA HUJUMA TOKA NJE KUPITIA KAMATI YA USHINDI YA SSC.
SABABU YA PILI NI BENCHI LA UFUNDI LETU LILIBEBWA NA HAMASA YA WACHEZAJI ZAIDI KULIKO TACTICS ZA WAALIMU
Azim Dewji aliuza mechi ili asiwalipe wachezaji zile KIA alizowaahidi
Hakuna ukweli bana mbumbumbu wanamsingizia DewjNi bora Azim angeacha Simba ishinde halafu asiwanunulie hizo Kia.
Kuliko alichokifanya.
Kama ni ukweli basi hao akina Masatu, Mwameja na Masha wanatakiwa wahojiwe na Takukuru kwa kulihujumu Taifa.
Mimi ningekuwa wao ningechukua pesa na ningecheza kwa uwezo wangu wote ili kukinda heshima ya Taifa na Michezo kwa ujumla.
Mwameja alizoea kutobolewa hata Idd Moshi alimtoboa mara mbili na hata Kalimangonga Ongala hakumuacha salama.simba hawakuwa na gifted players bali mwanzoni walikutana na timu mbovu kutoka msumbiji na angola kabla ya kukutana na kisiki kutoka ivory coast stella na bolizozo akawaua mchana kweupe. Kikosi hicho unachokiita cha gifted players muda mfupi baadae kiliipigwa goli 2 bila na yanga iliyokuwa na wachezaji wa kawaida akiwemo mchezaji chipukizi James Tungaraza aliyemtoboa mwameja tundu 2 hata akabatizwa jina la bolizozo wa tz
Hivi unamfahamu Bolizozo we jamaa kweli ?Ilikuwa ni game ya fainali ya kombe la Caf mwaka 93 kati ya Simba Sport Club Vs Stella Abidjan ya Ivory Coast.. Tetesi zilizoenea mitaa ya jiji la Dar WS Salaam na viunga vyake ni kwamba Simba Sc waliuza hiyo game..Wadau wa Soka la Bongo ..What do u think ? Ni kweli Simba waliuza hiyo game ? Kama waliuza nani walihusika na mchezo huo mchafu ?
Stella wanasema baada ya mechi ya kwanza walikaa na makocha tofauti nakuisoma simba, wakati makocha wetu walikuwa wakiwapa wachezaji mazoezi magumu bila kuangalia mapungufu ya mechi ya kwanza pia kuna wachezaji hawakuchezeshwa mechi ya kwanza ili waje wacheze mechi ya pili wakisahahu kuwa mechi zote zilikuwa muhimuHII GAME ILINIFANYA NIWE KAMA JPM ALIVOFANYA SIKU ILE JUMAMOSI....NINABAKI KUWA MNYAMA ILA SIYO MPENDA UNAZI KATIK UBOVU WA TIMU....
NDIO MAANA SIMBA WAKIKOSEA NINANYOOSHA MANENO TENA MAKALI NA KAMA FAIR GAME NINAIKUBALI KEJELI AMA USHINDI KWA FURAHA.
SIMBA 1993 FAINALI TULIKUWA NA GIFTED PLAYERS ILA SIYO PROFESSIONAL PLAYERS....WALIFIKIA PALE KWA SABABU WACHEZAJI WETU WALIKUWA NA VIPAJI NA MORALI YA MASHINDANO ...
FAINALI TULIKWAMA KWA SABABU MORALI ILISHUKA SANA KWA WACHEZAJI WETU...WALIINGIA UWANJANI WAKIWA DOWN KINYUME KABISA NA GAME YA KWANZA ABIDJAN
AIDHA AZIM DEWJI NA UONGOZI WALI DISTRACT MORALI YA WACHEZAJI AMA HUJUMA TOKA NJE KUPITIA KAMATI YA USHINDI YA SSC.
SABABU YA PILI NI BENCHI LA UFUNDI LETU LILIBEBWA NA HAMASA YA WACHEZAJI ZAIDI KULIKO TACTICS ZA WAALIMU
Ilipangwa hadi route ya kupitisha Kombe "lao".Kuna interview alihojiwa George Masatu na Clouds Sport Extra aliongea vitu vya msingi sana.
1- anasema kabla ya mechi siku ya ijumaa walishinda kwa wataalamu kuombea dua tu
2- usiku wake walikuwa awakulala kila muda wanaambiwa wapelekwe kwa wataalamu tu.
Sasa kwa maandalizo hayo kweli ushindi unaweza kupatikana, kama tungepata cd ya interview hiyi ndio tungeelewa kilichoisababishia Simba kufungwa.
NB. Iliundwa kamati ya kitaifa kuratibu sherehe za ubingwa wa Simba kabla ata mechi kuchezwa, baadhi ya wajumbe wa kamati hiyo walikuwa ni wapenzi wa Yanga sasa unategemea nini?
Wewe Hatukusema UZALEENDO UMETUSHINDA....... Tuliimba, Tumekosa uzalendo tumekosa uzalendoTukapigwa Goli la kwanza Uwanja Ukawa kimyaaaaa Mara likaingia la pili Mchomo uliopigwa umbali wa mita 18 hapo ndipo Kelele za Mashabiki wa Yanga '...Uzalendo umetushinda...' Ndio zikaanza
i