What really happened in Simba Sc Vs Stella Abidjan in 1993?

What really happened in Simba Sc Vs Stella Abidjan in 1993?

Masatu,Mwameja,Masha ni miongoni mwa wachezaji waliohongwa na Dewji

Bolizozo akawatungua goli mbili
Uongo mtupu,Simba hajawahi kuwa na mpira wa kuchukua Kombe la Africa.Kwani wachezaji walikuwa hawataki kuweka historia na pesa wangepata pia,Dewji mwenyewe angeweza kupiga longolongo na asitoe hizo KIA.Acheni uswahili kama wa Anakuja Minara.
 
Tulianza Kwa kuwatoa Ferroviario ya Msumbiji Kwa advantage ya Goli la ugenini hapa tulitoka bila nila kwao tukatoka Moja Moja

Tukaenda Robo Fainali tukamchapa nje ndani Timu ya Manzini ya kule Swatziland

Tukaingia nusu Fainali tukacheza Na Club bingwa ya Angola ya wakati huo inaitwa Atletiko Aviacao hapa Taifa Tukampiga Tatu Kwa Moja then kwao tukapigwa Moja bila wakawa wametoka

Tunaingiza Fainali Sasa hapo, Ikawa Simba vs Stella Andijaa

Mechi ya kwanza tukaanza kule Kwao Ivory Coast tukatoka nao suluhu ya Bila ya kufungana

Sasa Kombe Uwanjani ya Kombe la CAF Africa nzima ikafanyika Uwanja wa Taifa

Mgeni wa Heshma akawa Rais Ally Hassan Mwinyi akisindikizwa Na Waziri wake wa Michezo Prof Philemon Sarungi ( Mshabiki wa Simba damu)

Wakati huo Kocha wa Simba akiwa Abdallah King Kibaden Mputa Na Msaidizi wake akiwa Hassan Hafif

Tukapigwa Goli la kwanza Uwanja Ukawa kimyaaaaa Mara likaingia la pili Mchomo uliopigwa umbali wa mita 18 hapo ndipo Kelele za Mashabiki wa Yanga '...Uzalendo umetushinda...' Ndio zikaanza

Mpaka Mwisho bila ya kutegemea Mzee Mwinyi akashuka Jukwaaani Kwa huzuni usoni lakin akiwa Na furaha moyoni Kwa Kuwa Nae Ni Yanga Damu Kuliko Mzee Akili Mali

Baadhi ya Wachezaji ninaowakumbuka wa Simba Ni Mohamed Mwameja, Hussein Masha, George Magere Masatu, Alfred Kategile, Damian Kimti, Alfred Kategile, Alphonce modest, Makenzi Ramadhan, Dua Said, Edward Chumila n.k

Personally naamini Kwa Umri wangu niliosalia sitoishuhudia Simba bora ya kiwango ile
Mzee Mwinyi akakabidhi Kombe Kwa kina Bolizozo nao usiku ule ule wakaondoka Na Kombe kupumzika Nairobi

Nakumbuka Siku chache kabla ya Mechi, Uongozi Na Mashabiki wa Simba hawakuwa wakijadili Mikakati ya Ushindi wa Mechi hiyo bali walikuwa wakijadili Kombe litakaa wapi baada ya Mechi hiyo wengine walisema Ikulu, wengine BOT hakuna kujadili Mikakati ya Ushindi
Unewasahau Mzee wa Kiminyio,Malota Soma,Kasongo Athman,Abdul Mashine,Fikiri Magoso,Hussein Marsha,Twaha Amidu,Itutu Kiggi nk.nashangaa Leo mnavyomtukuza Kuchukua,kichuya naye mchezaji
 
Uongo mtupu,Simba hajawahi kuwa na mpira wa kuchukua Kombe la Africa.Kwani wachezaji walikuwa hawataki kuweka historia na pesa wangepata pia,Dewji mwenyewe angeweza kupiga longolongo na asitoe hizo KIA.Acheni uswahili kama wa Anakuja Minara.
Ulikuwa bado hujazaliwa
 
Baadhi ya Wachezaji ninaowakumbuka wa Simba Ni Mohamed Mwameja, Hussein Masha, George Magere Masatu, Alfred Kategile, Damian Kimti, Alfred Kategile, Alphonce modest, Makenzi Ramadhan, Dua Said, Edward Chumila n.k

Naongezea hapo, Malota Soma , Twaha Hamidu ,Idd Selemani.Rashid Abdallah.
 
Mnyama kaanza zamani kukata rufaa ..hata hii mechi walilalamika Bolizozo hakuwa amesajiliwa maana mechi ya kwanza hakucheza alikuwa ameenda France kwa ajil ya trials... mechi ya marudiano akaweka mbili kambani shamba la bibi
 
Mpaka Mwisho bila ya kutegemea Mzee Mwinyi akashuka Jukwaaani Kwa huzuni usoni lakin akiwa Na furaha moyoni Kwa Kuwa Nae Ni Yanga Damu Kuliko Mzee Akili Mali
Mtake radhi rais wetu mstaafu...yaani unaambiwa alitaka Runyamilla apewe namba ili asawazishe magoli kwenye mechi hiyo halafu unasema alikuwa na furaha. Narudia mtake radhi tafadhali.
 
Mleta mada bora umeliibua hili...hatutaki upuuzi kwenye michuano ya CAF kwa vilabu bingwa msimu ujao. Simba macho yetu kwenu hata kama sisi ni watani zenu...hatutaki mtudhalilishe tena kama 1993.
 
Unewasahau Mzee wa Kiminyio,Malota Soma,Kasongo Athman,Abdul Mashine,Fikiri Magoso,Hussein Marsha,Twaha Amidu,Itutu Kiggi nk.nashangaa Leo mnavyomtukuza Kuchukua,kichuya naye mchezaji

Madaraka hakuwepo kipindi hicho, alikuwa falme za kiarabu
 
Mnyama kaanza zamani kukata rufaa ..hata hii mechi walilalamika Bolizozo hakuwa amesajiliwa maana mechi ya kwanza hakucheza alikuwa ameenda France kwa ajil ya trials... mechi ya marudiano akaweka mbili kambani shamba la bibi

Acha uongo Boli Zozo alifunga goli la pili. Goli la kwanza lilifungwa na Ceku Bambe
 
Aliahidi gari aina ya KIA kwa kila mchezaji,wachezaji walikua 30,sasa piga hesabu..baniani ikabidi afanye ubaya wake,akatembeza hela kwa wachezaji muhimu wa simba,simba akafungwa kizembe,mzee mwinyi akiwa mgeni rasmi ilimuuma sana,akawaomba wamwingize lunyamila,akaambiwa yule yanga
Hahaahaaaaa kumbe haya mambo hayajaanza leo...juzi manara anauliza nani kapiga penati
 
Tulianza Kwa kuwatoa Ferroviario ya Msumbiji Kwa advantage ya Goli la ugenini hapa tulitoka bila nila kwao tukatoka Moja Moja

Tukaenda Robo Fainali tukamchapa nje ndani Timu ya Manzini ya kule Swatziland

Tukaingia nusu Fainali tukacheza Na Club bingwa ya Angola ya wakati huo inaitwa Atletiko Aviacao hapa Taifa Tukampiga Tatu Kwa Moja then kwao tukapigwa Moja bila wakawa wametoka

Tunaingiza Fainali Sasa hapo, Ikawa Simba vs Stella Andijaa

Mechi ya kwanza tukaanza kule Kwao Ivory Coast tukatoka nao suluhu ya Bila ya kufungana

Sasa Kombe Uwanjani ya Kombe la CAF Africa nzima ikafanyika Uwanja wa Taifa

Mgeni wa Heshma akawa Rais Ally Hassan Mwinyi akisindikizwa Na Waziri wake wa Michezo Prof Philemon Sarungi ( Mshabiki wa Simba damu)

Wakati huo Kocha wa Simba akiwa Abdallah King Kibaden Mputa Na Msaidizi wake akiwa Hassan Hafif

Tukapigwa Goli la kwanza Uwanja Ukawa kimyaaaaa Mara likaingia la pili Mchomo uliopigwa umbali wa mita 18 hapo ndipo Kelele za Mashabiki wa Yanga '...Uzalendo umetushinda...' Ndio zikaanza

Mpaka Mwisho bila ya kutegemea Mzee Mwinyi akashuka Jukwaaani Kwa huzuni usoni lakin akiwa Na furaha moyoni Kwa Kuwa Nae Ni Yanga Damu Kuliko Mzee Akili Mali

Baadhi ya Wachezaji ninaowakumbuka wa Simba Ni Mohamed Mwameja, Hussein Masha, George Magere Masatu, Alfred Kategile, Damian Kimti, Alfred Kategile, Alphonce modest, Makenzi Ramadhan, Dua Said, Edward Chumila n.k

Personally naamini Kwa Umri wangu niliosalia sitoishuhudia Simba bora ya kiwango ile
Mzee Mwinyi akakabidhi Kombe Kwa kina Bolizozo nao usiku ule ule wakaondoka Na Kombe kupumzika Nairobi

Nakumbuka Siku chache kabla ya Mechi, Uongozi Na Mashabiki wa Simba hawakuwa wakijadili Mikakati ya Ushindi wa Mechi hiyo bali walikuwa wakijadili Kombe litakaa wapi baada ya Mechi hiyo wengine walisema Ikulu, wengine BOT hakuna kujadili Mikakati ya Ushindi
Kama hivi ni kweli basi simba wasithubutu kumuita rais yeyote wa nchi kwa muda huo...maana inaonekana shughuli huwa pevu
 
Ilikuwa ni game ya fainali ya kombe la Caf mwaka 93 kati ya Simba Sport Club Vs Stella Abidjan ya Ivory Coast.. Tetesi zilizoenea mitaa ya jiji la Dar WS Salaam na viunga vyake ni kwamba Simba Sc waliuza hiyo game..Wadau wa Soka la Bongo ..What do u think ? Ni kweli Simba waliuza hiyo game ? Kama waliuza nani walihusika na mchezo huo mchafu ?
Azim Dewji aliuza mechi ili asiwalipe wachezaji zile KIA alizowaahidi
 
Tulianza Kwa kuwatoa Ferroviario ya Msumbiji Kwa advantage ya Goli la ugenini hapa tulitoka bila nila kwao tukatoka Moja Moja

Tukaenda Robo Fainali tukamchapa nje ndani Timu ya Manzini ya kule Swatziland

Tukaingia nusu Fainali tukacheza Na Club bingwa ya Angola ya wakati huo inaitwa Atletiko Aviacao hapa Taifa Tukampiga Tatu Kwa Moja then kwao tukapigwa Moja bila wakawa wametoka

Tunaingiza Fainali Sasa hapo, Ikawa Simba vs Stella Andijaa

Mechi ya kwanza tukaanza kule Kwao Ivory Coast tukatoka nao suluhu ya Bila ya kufungana

Sasa Kombe Uwanjani ya Kombe la CAF Africa nzima ikafanyika Uwanja wa Taifa

Mgeni wa Heshma akawa Rais Ally Hassan Mwinyi akisindikizwa Na Waziri wake wa Michezo Prof Philemon Sarungi ( Mshabiki wa Simba damu)

Wakati huo Kocha wa Simba akiwa Abdallah King Kibaden Mputa Na Msaidizi wake akiwa Hassan Hafif

Tukapigwa Goli la kwanza Uwanja Ukawa kimyaaaaa Mara likaingia la pili Mchomo uliopigwa umbali wa mita 18 hapo ndipo Kelele za Mashabiki wa Yanga '...Uzalendo umetushinda...' Ndio zikaanza

Mpaka Mwisho bila ya kutegemea Mzee Mwinyi akashuka Jukwaaani Kwa huzuni usoni lakin akiwa Na furaha moyoni Kwa Kuwa Nae Ni Yanga Damu Kuliko Mzee Akili Mali

Baadhi ya Wachezaji ninaowakumbuka wa Simba Ni Mohamed Mwameja, Hussein Masha, George Magere Masatu, Alfred Kategile, Damian Kimti, Alfred Kategile, Alphonce modest, Makenzi Ramadhan, Dua Said, Edward Chumila n.k

Personally naamini Kwa Umri wangu niliosalia sitoishuhudia Simba bora ya kiwango ile
Mzee Mwinyi akakabidhi Kombe Kwa kina Bolizozo nao usiku ule ule wakaondoka Na Kombe kupumzika Nairobi

Nakumbuka Siku chache kabla ya Mechi, Uongozi Na Mashabiki wa Simba hawakuwa wakijadili Mikakati ya Ushindi wa Mechi hiyo bali walikuwa wakijadili Kombe litakaa wapi baada ya Mechi hiyo wengine walisema Ikulu, wengine BOT hakuna kujadili Mikakati ya Ushindi
kuna vitu umepotosha Alfred kategile, Damiani Kimti, Alphonce Modest, Makenzi ramadhani na Duwa Said hawakuwemo kwenye hicho kikosi
Kuna Timu ya Algeria ambayo Simba ilicheza nayo ikaifunga
Kuna wachezaji kama Michael paul, George Lucas, Ramadhami Leny kwa kuwataja wachache
 
Tulianza Kwa kuwatoa Ferroviario ya Msumbiji Kwa advantage ya Goli la ugenini hapa tulitoka bila nila kwao tukatoka Moja Moja

Tukaenda Robo Fainali tukamchapa nje ndani Timu ya Manzini ya kule Swatziland

Tukaingia nusu Fainali tukacheza Na Club bingwa ya Angola ya wakati huo inaitwa Atletiko Aviacao hapa Taifa Tukampiga Tatu Kwa Moja then kwao tukapigwa Moja bila wakawa wametoka

Tunaingiza Fainali Sasa hapo, Ikawa Simba vs Stella Andijaa

Mechi ya kwanza tukaanza kule Kwao Ivory Coast tukatoka nao suluhu ya Bila ya kufungana

Sasa Kombe Uwanjani ya Kombe la CAF Africa nzima ikafanyika Uwanja wa Taifa

Mgeni wa Heshma akawa Rais Ally Hassan Mwinyi akisindikizwa Na Waziri wake wa Michezo Prof Philemon Sarungi ( Mshabiki wa Simba damu)

Wakati huo Kocha wa Simba akiwa Abdallah King Kibaden Mputa Na Msaidizi wake akiwa Hassan Hafif

Tukapigwa Goli la kwanza Uwanja Ukawa kimyaaaaa Mara likaingia la pili Mchomo uliopigwa umbali wa mita 18 hapo ndipo Kelele za Mashabiki wa Yanga '...Uzalendo umetushinda...' Ndio zikaanza

Mpaka Mwisho bila ya kutegemea Mzee Mwinyi akashuka Jukwaaani Kwa huzuni usoni lakin akiwa Na furaha moyoni Kwa Kuwa Nae Ni Yanga Damu Kuliko Mzee Akili Mali

Baadhi ya Wachezaji ninaowakumbuka wa Simba Ni Mohamed Mwameja, Hussein Masha, George Magere Masatu, Alfred Kategile, Damian Kimti, Alfred Kategile, Alphonce modest, Makenzi Ramadhan, Dua Said, Edward Chumila n.k

Personally naamini Kwa Umri wangu niliosalia sitoishuhudia Simba bora ya kiwango ile
Mzee Mwinyi akakabidhi Kombe Kwa kina Bolizozo nao usiku ule ule wakaondoka Na Kombe kupumzika Nairobi

Nakumbuka Siku chache kabla ya Mechi, Uongozi Na Mashabiki wa Simba hawakuwa wakijadili Mikakati ya Ushindi wa Mechi hiyo bali walikuwa wakijadili Kombe litakaa wapi baada ya Mechi hiyo wengine walisema Ikulu, wengine BOT hakuna kujadili Mikakati ya Ushindi
Mkuu golini alikuwepo Tanzania One Mohammed Mwameja, Mackenzi Ramadhani hakuwepo.

Vv
 
Back
Top Bottom